Mapenzi yashanikera

Mapenzi yashanikera

Status
Not open for further replies.
Huyo mwanamke ana kichaa cha aina fulani na kuzaa na mtu kama huyo ni fedheha. Inakuwaje ana mtu ameilea mimba, analea mtoto aliezaliwa na pango analipia na bado unakutana nae anaanzisha varangati kuwa ulimtelekeza na kukusanya kikao cha ndugu wasuluhishe? Anataka nini? Ana matatizo gani ya akili?
 
mkipata wanawake wema mnawatenda, viruka njia ndio wanawafaaa
 
Wasalamu wana MMU!

Ningependa kushare nanyi hii mambo mana hata siielewi kabisa..Ni hivi kuna binti mmoja nilikuwa na uhusiano nae mwaka 2014 wote tukiwa chuo. Sasa baada ya sintofahamu nyingi sana uhusiano wetu ukakata mara baada ya kujilidhisha kuwa ana mpenzi mwingine. Ishu ilikuja baada ya takribani miezi minne mara baada ya kuachana akanijulisha eti ana mimba yangu na kulia sana kwamba haitoi ila nijue hilo. Aisee alinichanganya kichwa sana, nikajitafakari nikarudiana nae kwa ajili ya kunusuru mtoto asijepata shida ila cha ajabu nilipekua simu yake na kuona anachart na mwanaume mwingine kuhusu hiyo mimba....to be honesty from there nilimuona kama sio mtu mzuri kwangu nikamwambia siyo mimba yangu na haiwezekani awe na mimba yangu at the same time anachati na mtu mwingine kuhusu huyo mtoto atakae zaliwa.

Baada ya muda wa takribani mwaka hivi nimekuja kuonana nae hamadi bin vuuu, akaniletea fujo sana kuwa nilimtelekeza yeye kajifungua bila msaada wangu, niliishia kumuangalia tu. kibaya zaidi alichukua begi langu na laptop kapeleka kwao eti nikachukue nimuone na mtoto. nikatia mgomo hata sikwenda. Baada ya masuruhisho mengi sana, ndg zangu wakakubali kuwa watamlea mtoto japo mm nilitia ngumu simchukui mpaka nipime DNA.

Sasa hii juzi kamaliza mitihani, tukakutana kujadili hili pamoja na ndugu zake na wangu, na muafaka ulikuwa nisaidie kumlea mtoto ili asipate shida na masomo, kishingo upande nikakubali. Sasa nilienda kwake kama baba mtoto, sasa unajua haya mambo hayaishagi hivihivi nikajiona nalala hukohuko.

Asubuhi wakati naamuka nikachukua simu yake, hapa ndio maluelue yalipo anza..kumbe yule jamaa aliyavunja uhusiano ndio mwenye mtoto na anamuhudumia kila kitu kutoka pango mpaka chakula cha mtoto. nikasema isiwe shida nikachukua # yake. nilipomcheki alidai huyo mtoto ni wake na ana mupa kila kitu ila kwa kificho mkewe asijue, niliishiwa nguvu aisee. Nikarudi tena mchana pale getoni kwake nikamkuta jamaa kampakata mtoto, sikuamini. ikabidi nivunge mi kama rafiki ake huyo mama mtoto wake. kama intelijensia nikachukua document za mtoto hapa ndo niligundua ninapressure mbaya sana.

Sikuwa na namna nikaondoka kuitafuta bar yoyote nipate hata ka castle lager kabaridi kanipunguzie pressure. Nikamtumia text asinijue kamwe, sina haja ya DNA...alivojifanya mjuaji kanidanganya kuwa eti yule ni classmate wake.

Nahisi Dunia sio yangu. nashindwa hata la kufanya... sihitaji ushauri nawashilikisheni tu...nimeandika kwa akili za Dompo..kama nimeikosea nitaiedit kesho.... Jamani usiku mwema.
"..Pole sana mkuu i kno how u feel, this is painful serious in u 're heart simama kiume na life still goies on my brother"
 
Wanawake wa hivi mnawatoaga wapi? Mbona majanga.
 
Kuna mambo yanakera mda mwingine mpaka unasema hii. Pole sana najua ulifanya kwa kumuhurumia mtoto. Ila siku nyingine uwe makini sana
 
b03a7c3a8d92dcfe68f1b5cabf4fdc87.jpg
ushauri huu hapa
 
Wasalamu wana MMU!

Ningependa kushare nanyi hii mambo mana hata siielewi kabisa.Ni hivi kuna binti mmoja nilikuwa na uhusiano nae mwaka 2014 wote tukiwa chuo. Sasa baada ya sintofahamu nyingi sana uhusiano wetu ukakata mara baada ya kujilidhisha kuwa ana mpenzi mwingine. Ishu ilikuja baada ya takribani miezi minne mara baada ya kuachana akanijulisha eti ana mimba yangu na kulia sana kwamba haitoi ila nijue hilo. Aisee alinichanganya kichwa sana, nikajitafakari nikarudiana nae kwa ajili ya kunusuru mtoto asijepata shida ila cha ajabu nilipekua simu yake na kuona anachart na mwanaume mwingine kuhusu hiyo mimba, to be honesty from there nilimuona kama sio mtu mzuri kwangu nikamwambia siyo mimba yangu na haiwezekani awe na mimba yangu at the same time anachati na mtu mwingine kuhusu huyo mtoto atakae zaliwa.

Baada ya muda wa takribani mwaka hivi nimekuja kuonana nae hamadi bin vuuu, akaniletea fujo sana kuwa nilimtelekeza yeye kajifungua bila msaada wangu, niliishia kumuangalia tu. kibaya zaidi alichukua begi langu na laptop kapeleka kwao eti nikachukue nimuone na mtoto nikatia mgomo hata sikwenda. Baada ya masuluhisho mengi sana, ndug zangu wakakubali kuwa watamlea mtoto japo mimi nilitia ngumu simchukui mpaka nipime DNA.

Sasa hii juzi kamaliza mitihani, tukakutana kujadili hili pamoja na ndugu zake na wangu, na muafaka ulikuwa nisaidie kumlea mtoto ili asipate shida na masomo, kishingo upande nikakubali. Sasa nilienda kwake kama baba mtoto, sasa unajua haya mambo hayaishagi hivihivi nikajiona nalala hukohuko.

Asubuhi wakati naamuka nikachukua simu yake, hapa ndio maluelue yalipo anza..kumbe yule jamaa aliyavunja uhusiano ndio mwenye mtoto na anamuhudumia kila kitu kutoka pango mpaka chakula cha mtoto. nikasema isiwe shida nikachukua # yake nilipomcheki alidai huyo mtoto ni wake na ana mupa kila kitu ila kwa kificho mkewe asijue, niliishiwa nguvu aisee. Nikarudi tena mchana pale getoni kwake nikamkuta jamaa kampakata mtoto, sikuamini ikabidi nivunge mi kama rafiki ake huyo mama mtoto wake kama intelijensia nikachukua document za mtoto hapa ndo niligundua ninapressure mbaya sana.

Sikuwa na namna nikaondoka kuitafuta bar yoyote nipate hata ka castle lager kabaridi kanipunguzie pressure. Nikamtumia text asinijue kamwe, sina haja ya DNA alivojifanya mjuaji kanidanganya kuwa eti yule ni classmate wake.

Nahisi Dunia sio yangu nashindwa hata la kufanya, sihitaji ushauri nawashirikisheni tu nimeandika kwa akili za Dompo, kama nimeikosea nitaiedit kesho.

Jamani usiku mwema.
kweli mapenzi yamekuvuruga mkuu, pole sana
 
Hivi kwanini wanawake wanapenda sana hii tabia ya kubambikiza?

Kwanini wasimkubali Baba wa yule mtoto hata kama hana kitu/majalala?

Mtoto anahitaji malezi ya Wazazi wake wote wawili.

Na hili tatizo ndilo linalosababisha watoto wengi kutokuwa na Baba.

Na wahusika wanashindwa kusema ukweli, matokeo yake wanaongopa Baba wa mtoto alikuwa mkorofi, tokea tulipoachana hatujatafutana.

Wengine wanaongopa Baba wa mtoto alifariki.

Na visababu vingi sana vya kutetea uovu wao.

Kumbe ukija kwenye ukweli Waliowabambikizia waligutuka.

Mbaya sana
 
Ukitaka kuish maisha mazuri katika mahusiano kuwa ka boda boda, wewe ni wa kwenda mbele tu haina reverse
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom