Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Huna haja ya kwenda kwa mganga... Hela zako ni uganga toshaWewe leta utani tu,dawa yako iko jikoni,nakuendea Bagamoyo kwa mganga wa jadi,shuri yako mamii.
Huna haja ya kwenda kwa mganga... Hela zako ni uganga toshaWewe leta utani tu,dawa yako iko jikoni,nakuendea Bagamoyo kwa mganga wa jadi,shuri yako mamii.
Basi imekula kwako.Mamii tatizo niko nchi za watu nasafisha vyoo ,ningekurushia fasta yaani ili nipone nione raha.
Acheni sifa za kijinga. Kwa kipapi gani hata tutoe milioni?Mimi nawashangaa Sana nyie watu mbona wapo wasiopiga vizinga au hamuwaoni???
Acheni kuparamia msivyoviweza mnataka vitu vikubwa vya mamilioni wakati unajijua wewe wa 1000.
HahahahahahaHajakutajia aina ya zawadi... kwa hiyo mpelekee hata gazeti la udaku...
Mimi mpiga mizinga hatari na siyo ya kitoto, Kama Una mkwanja mrefu usio wa mawazo karibu tubonge![]()
Daah basi itabidi nijinyonge mamii,mrembo kama wewe kunitupa mkono.Basi imekula kwako.