Mapenzi yanazingua

Mapenzi yanazingua

Usitongoze subiri mkeo yupo mahali anakusuboria ..mbona kapapa chake unamuomba pamoja na hali ni ngumu
 
napenda hao mademu maana inanilazimu niwe na si chini ya elf 50 mfukoni ili akihitaji ya kusuka 25 elfu nampa 35 nyingine nauli basi maisha yanasonga hakuna bure kwenye raha wewe ukiona yamekushinda nenda kwa students hao hawana gharama kabisa
Wewe ndo unajua nini maana ya mwanamke
 
Zawadi sio kizinga mbebee ata apple, ua, ice cream, juice vitu vidogo dogo tu mtu anaridhika kizinga ni kile mtu anakwambia baby nina shida ya lak 5 acha kulia lia kama vip tembea na wanafunzi au housegirl
 
Mimi nawashangaa Sana nyie watu mbona wapo wasiopiga vizinga au hamuwaoni???

Acheni kuparamia msivyoviweza mnataka vitu vikubwa vya mamilioni wakati unajijua wewe wa 1000.
Angelita mrembo,hebu nioneshe hao ambao wasio piga mizinga tafadhali,tena unitumie namba zao kwa PM,maana kila siku nafilisika tu,nikiinuka tu wananimaliza mamii.
 
Angelita mrembo,hebu nioneshe hao ambao wasio piga mizinga tafadhali,tena unitumie namba zao kwa PM,maana kila siku nafilisika tu,nikiinuka tu wananimaliza mamii.
Embu nitumie vocha ya Tigo ya 10,000/= nikutumie hizo namba
 
Ukiona mapenzi yanazingua achana nayo fanya mengine
Mamii kwangu inakuwa ngumu kuachana na mapenzi,nikiacha tu napungukiwa maji mwilini,pesa nazo zinapote mamii,ila nikirudia mapenzi tu pesa nazo varuvaru zinajaa.
 
Mamii kwangu inakuwa ngumu kuachana na mapenzi,nikiacha tu napungukiwa maji mwilini,pesa nazo zinapote mamii,ila nikirudia mapenzi tu pesa nazo varuvaru zinajaa.
Basi we endelea nayo kama yananaenda sambamba na pesa
 
Back
Top Bottom