Sasa mwanangu hata Big Boom ya mia mbili inakushinda??Ebu dada zetu badilikeni bana,, life ngumu mbon tunakomoana vizinga vya ajabu kila time,, ukitoka tu utasikia baby usisahau kuniletea zawadi.
Zawadi ni kizinga???? Ukiambiwa umsaidie kodi??? Au pesa ya shoping utasemaje??Ebu dada zetu badilikeni bana,, life ngumu mbon tunakomoana vizinga vya ajabu kila time,, ukitoka tu utasikia baby usisahau kuniletea zawadi.
Dah...Kizinga ndiyo thamani ya mwanamke.....kila mmoja na bei yake....na bei inategemea na hitajiko lake sokoni....hujawahi kusikia buy 1 and get 2 free? Hii hutokea pale bidhaa unapokosa thamani sokoni....pale inapokuwa imepitwa na wakati au inakarbia Ku expire...Mimi nawashangaa Sana nyie watu mbona wapo wasiopiga vizinga au hamuwaoni???
Acheni kuparamia msivyoviweza mnataka vitu vikubwa vya mamilioni wakati unajijua wewe wa 1000.

Itakuwa At-will contractContract yako na baby wako ni ya aina gani mkuu? Vigezo na masharti lazima vizingatiwe.
Mimi nawashangaa Sana nyie watu mbona wapo wasiopiga vizinga au hamuwaoni???
Acheni kuparamia msivyoviweza mnataka vitu vikubwa vya mamilioni wakati unajijua wewe wa 1000.
Mimi mpiga mizinga hatari na siyo ya kitoto, Kama Una mkwanja mrefu usio wa mawazo karibu tubongeMbona wewe umejitoa kwenye orodha ya wasiopiga mizinga? Kama na wewe ni miongoni mwa hao, taja basi wewe wa bei gani tuongee inbox????

Kazi kwelUnapigwa kizinga cha sikukuu au?
Mnunulie hata maji ya mia nne
Sasa kama hautaki kupigwa mizinga unakuwa na mpenzi kwa nini?Ebu dada zetu badilikeni bana,, life ngumu mbon tunakomoana vizinga vya ajabu kila time,, ukitoka tu utasikia baby usisahau kuniletea zawadi.
Kijana kaleta malalamiko humu. HahahahKazi kwel
wa dar wamefanyaje??Kazawadi kanachochea nguvu ya mapenzi. Hata ka juice ka azam jamani kanakosekana?? Au weye wa Dar
Ebu dada zetu badilikeni bana,, life ngumu mbon tunakomoana vizinga vya ajabu kila time,, ukitoka tu utasikia baby usisahau kuniletea zawadi.