Mapenzi yanaumiza

Mapenzi yanaumiza

tunahuruma sana aseee unashanga ghafla upendo umerud kwa dear X
Mnatutesa sasa sie tuliowahurumia kwa ujinga wenu, na mwisho mwaka huu mwakani mtaongezeka sana masingle maza😣
 
Amekubikiri halafu akasepa. Na huyu huyu kesho na kesho kutwa utamkuta kwa akina Jokajeusi akilalamika kuwa siku hizi hakuna mabikra wa kuoa!

Kuhusu kuumia hakuna njia ya mkato binti yangu. Ni lazima uumie tu. Ila kwa kadri siku zinavyokwenda maumivu yataanza kupungua, kutaanza kupambazuka na hatimaye jua litachomoza tena, moyo wako utapona polepole; na furaha yako itarudi.

Jitahidi kujiweka bize. Kama una marafiki wa kweli kuwa nao karibu. Ndugu pia na hasa mama. Huu ndiyo wakati wa kumuomba akupe stori za usichana wake...pia soma neno la Mungu na kusali sana (kama ni muumini)

Na usiache kulia. Ukijisikia kulia we lia tu. Hiyo ndiyo tiba yenyewe hasa. Utapona na ukija kuangalia experience yako hii ya kwanza na wanaume utakuwa umejifunza mengi....

Na safari ndo imeanza rasmi sasa. Kwa wanaume wa Kibongo sisi, definitely it gonna be a bumpy ride ahead. You better fasten your seat belt. Kila la heri
Watu tumepambana hapa kutoa ushauri lakini si ajabu Dorcas21 alisharudi kwa baharia wake. Mapenzi bwana
JamiiForums-1928125907.jpg
 
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia.

Nifanye nini ili nimsahau kabisa?
Only time can heal broken hearts.. Lakini kwakuwa binadamu tumeumbiwa kusahau utapenda tena
 
Mkuu Pole Sana Ila Atakutafuta Aje Kukuoa Usikate Tamaa Kuna Muda Binadamu Ukengeuka.
 
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia.

Nifanye nini ili nimsahau kabisa?
Kumsahau mtu unaempenda sio rahisi kabisa.....Muombe Mungu akupe mtu atakaekupenda hapo utajifunza pia kumpemda na kumsahau huyo wa nyuma

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia.

Nifanye nini ili nimsahau kabisa?
Fungua moyo mama kipenda roho hula nyama mbichi...sio wako tuu fungu vitabu vya historia uniambie mfalme suleiman alikua na wanawake wangapi na wengine wengii cha msingi stay focused on your decision kama kweli umeamua
 
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia.

Nifanye nini ili nimsahau kabisa?
Tafuta mwingine, utamsahau pole sana, mapenzi yanauma ukisalitiwa pole sana
 
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia.

Nifanye nini ili nimsahau kabisa?
Huu mtego utawanasa tu japo mwandiko wako wa kiume huu
 
Back
Top Bottom