Afro king
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 527
- 564
30yrs
Vipi mlifunga ndoa au mlikuwa kwenye field ya ndoa??
Vp nlkuwa na malengo yoyote???
Vipi mlifunga ndoa au mlikuwa kwenye field ya ndoa??
Vp nlkuwa na malengo yoyote???
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.




