Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Mapenzi nyoko, kuna lidada moja toka kule walikobalikiwa manyonyo na kunyimwa makalio alinitesa sana kabla sijajua siri hii...







Mapenzi nyoko, kuna lidada moja toka kule walikobalikiwa manyonyo na kunyimwa makalio alinitesa sana kabla sijajua siri hii...







Una matatizo. Deal with ya problems first, sawa ?Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
30yrs na hakuna ndoa, jiongeze kaa pembeni ingawa ni ngumu mwanamke kutafuta mwenza ila jitahidi upate wa kufanya nae maishaKwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Kwanza nikupe pole kubwa sana dsdangu. Mm ni mwanaume nafikiri mm pia ni malaya sababi nina girlfriend mmoja kando ya mke wangu.Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Njoo kwangu....nifanye nini ili nimsahau kabisa.
Usimdanganye. Mimi nitoe kwenye hiyo list.Elewa tu hakuna mwanaume lijali mwenye mtu 1 never...mtuvumilie tu
Mpende jirani yako kama unavyojipendaAsante, nimebaki najipenda mwenyewe tuu kwa sasa.Japo inanisumbua kuwa alone but nakomaa.Nakula,kunywa,vaa vile nataka.
So jifunze kujipenda na si kumpenda mtu
Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.




Watu wenye maneno kama haya yaani kaa nao mbali maana huyu ndio atakuvunjavunja kabisaa akumalizie 🤣🤣🤣Dada na mimi nimeumizwa na mwanamke kama wewe sina hamu hapa.Njoo tuponyane maumivu ikipendeza tuoane kabisa
Welcome to my PM,I'm a psychologist, so I will heal your wounds.Kwanini wanaume mnatuumiza wanawake hisia zetu, najuta kupenda. Nilikua na mwanaume nilimpenda haswaa na ndiye mwanaume wangu wa kwanza, nina miaka 30, tatizo la huyu mwanaume ni malaya sanaa, anawanawake wengi, sasa nimeamua kumuacha, japo nikikaa namkumbuka lakini sitaki niendelee kuumia, nifanye nini ili nimsahau kabisa.