BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,376
Ila hizo lips zako dah mungu nisaidie swaum isiharibike .
Kabisa aiseh
Kabisa aiseh
๐๐๐๐Sasa nimekuelewa๐๐
Ninakaa kwa utulivu kabisa Eli.au nishindwe halafu nikwambie!!๐๐
inategemeana unaichukuliaje,kama unaichukulia kam sembe inakufanya kuwa sembeHivi kubet si ndo aina nyingine ya madawa ya kulevya!!au mimi ndo sielewi
sawa umeshinda kwa upande wakoHuwezi kunidanganya aise..huo ni ugonjwa mpya wa madawa ya kulevya
Bado hujashindwa? Ujuwe nasubiri hapa!!๐๐Cheka tu Eli hakuna namna..๐๐
Nimebakiza masaa machache sana ya kukwambia Mr Arsenal
Njoo kwangu utapata pumziko๐๐Nimeshashindwa mr Arsenal nakwambia๐๐
Haya yasiwe matumaimi hewa, halafu yule crush wako tumekubaliana tumwambieje sasanakuja...sijui mbona hutokei baba loo nakuja
Mbona hutokei tena jamani.. niko hapa nje nakusubiriHaya yasiwe matumaimi hewa, halafu yule crush wako tumekubaliana tumwambieje sasa
๐๐๐๐๐Mbona hutokei tena jamani.. niko hapa nje nakusubiri
Yule haambiwi kitu
analindwa kama lile yai lililotoka kutagwa sasa hivi.sitaki baya lolote limpate wala mbu yoyote amngโate.
Nitasaga Tena debe ZimaPole sana aiseh...
Vipi unga wa lishe ukiisha utasaga mwingine au utaendelea na mapenzi