Habari zenu Wakuu,
Nimekuwa nikiona nyuzi nyingi sana za wanaume wenzangu wakifurahia Maex zao kuharibikiwa na maisha baada ya kuachana kwao.
Nikajaribu kuchunguza na nikagundua kwamba, hao wanaume walivyoachana/walivyoachwa na wanawake zao waliumia ndio maana wanafurahia anguko baya la maex zao wa kike.
USHAURI
Wanaume wenzangu Mapenzi huwa hayalazimishwi yanakujaga tu yenyewe automatically bila ya kufosiwa, Mwanamke anapoachana nawewe shukuru na songa mbele acha kuweka vinyongo na visasi kwa mtu ambaye hakupendi na wala hawazi lolote kuhusu wewe.
USILAZIMISHE KUPENDWA, JIPENDE WEWE MWENYEWE
Nimekuwa nikiona nyuzi nyingi sana za wanaume wenzangu wakifurahia Maex zao kuharibikiwa na maisha baada ya kuachana kwao.
Nikajaribu kuchunguza na nikagundua kwamba, hao wanaume walivyoachana/walivyoachwa na wanawake zao waliumia ndio maana wanafurahia anguko baya la maex zao wa kike.
USHAURI
Wanaume wenzangu Mapenzi huwa hayalazimishwi yanakujaga tu yenyewe automatically bila ya kufosiwa, Mwanamke anapoachana nawewe shukuru na songa mbele acha kuweka vinyongo na visasi kwa mtu ambaye hakupendi na wala hawazi lolote kuhusu wewe.
USILAZIMISHE KUPENDWA, JIPENDE WEWE MWENYEWE