Mapenzi yanauma sana

Shida ya dada zetu ukiwa mpole wanakuona kama bwege hyo inaitwa away team won both halves


Nothing can surprise me any more!
 
Jua litazama ma mdogo.. atakuja kutafuta mume yoyote huyu
Kitakachomsababishia hayo ni kutokujitambua kwake tu!!
Kwanza anavyosema mapenzi yanauma hivi alishawahi kubanwa na mlango kile kidole cha mwisho (kidogo) cha mguu akasikilizia maumivu yake???
 
Miaka 23,Mahusiano ya miaka 5 23-5=18

Halafu unataka kumsahau.

Iko hivi mrembo.Wewe ni mdogo na mzuri sana na unavutia wanaume wengi sana hasa kwa sababu ya umri wako na uzuri wako.Hata hivo suala la ndoa na kuolewa ni majaliwa.Kuhusu kumsahamu uliyemuacha ni swala la muda na wewe utakavoamua.Mapenzi yanauma na yasipouma sio mapenzi ni kupoteza muda wako.


Ushauri wangu.

Kunywa maji mengi,Cheka,jichanganye na watu na zaidi hakikisha kwamba haufikiri kwamba wewe ndo umepoteza kwa kuachwa kwani kwa uzoefu wangu yule ambaye anamuacha mwenzake hasa bila sababu ya msingi huwa ndo anapata hasara.Hii ni kwa sababu yeye atakuwa anabeba majuto hasa kama mambo yake yakienda hovyo katika mapenzi.

So ukiachwa umepewa nafasi ya kutafuta mtu bora zaid na kuwa mtu bora zaidi.
 
Kitakachomsababishia hayo ni kutokujitambua kwake tu!!
Kwanza anavyosema mapenzi yanauma hivi alishawahi kubanwa na mlango kile kidole cha mwisho (kidogo) cha mguu akasikilizia maumivu yake???
 
Polee mdogo wangu, pia Hongera kwa kuwa muaminifu Kwa jamaa kwa hiyo miaka yote mitano.

Lakini tambua kuwa mwaminifu kwa mwenzi wako hakukupi guarantee ya wewe kutokuachwa, cha msingi soma alama za nyakati ukishaona mwenzio haeleweki Anza kujiweka mbali naye usije enda extra miles zaidi kufanya come back huwa inakuwa ngumu kidogo.

I hope utapata mwenye kujua thamani yako

Ila
kwanini akafikia hiyo hatua, je kuna kitu aliomba ukamnyima au ulibadili baadhi ya tabia zako za awali may be ndo zilimfanya avutiwe nawe au kuna mengine hutaki kuyasema????
 
Hata wanawake wa kuoa hakuna....karibu wote ni wadangaji kwa 99%.......we endelea kuliwa kimasihara hivyo hivyo
 
Mtumishi, Mcha Mungu, Asiye na Mtoto, hahaha...ngoja afike 38 ndio atajua nini maana ya vigezo...23 si yuko shule?
bado miaka 7 atataka yeyote anae pumua angalau.....sasa hivi mwache asugue bench kwanza
 
My wangu usisumbuke hata....jiweke busy kua busy tafuta issue za kufanya fanya.......maisha yatasonga....wanaume wengi sa hv ni waongo sana wengi ni matapeli tu
Tatizo wanawake mnapiga virungu mno....ndiyo maana vijana wa kiume wanawayeyusha
 
Pole sana. Ni kweli siku hizi kuna shida kila upande. Endelea kumwomba Mungu na kusahau yaliyopita. Wakati ukuta. Mungu atakuletea wa moyo wako. kumbuka hao wote walikuwa hawajapangiwa kwako ndiyo maana wameondoka bila kukuachia majeraha ya kudumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…