Mapenzi yanauma sana

Tatizo lako lipo hapa. Sisi wanaume tunapenda kuheshimiwa na kuelekezwa kwa ustaarabu.
Umenikuta sina hela ila unanipenda sana ila tunavyokuwa unaongelea habari za wanaume wenye hela. Nitakuvumilia kwakuwa sina pesa, ila nikishapata lazima nikuache sabababu
1. Unatafuta mwanaume mwenye kujua pesa na siyo mume.
Sisi wanaume tunapenda kuishi na mwanamke ambaye atatuvumilia hata ukiwa na mia mbovu. Inaonekana jamaa hakupenda kwasababu
a) Ulikuwa unampangia vitu vya kununua. Ukimkuta amenunua hata simu ya laki 2 una kasirika, kwann hiyo pesa asiweke kwenye mzunguko wa biashara.
b) Zamani ulikuwa unamchukulia hajui kutafuta pesa ndiyo maana umesema wewe ndiyo km ulikuwa una mshauri.
Anayejua kutafuta pesa.
 
Hapana na uongo mkubwa huo ,sijaongea icho
 
Awe mtumishi?? Mtumish wa mungu au wa serikal
 
Ndo hivyo mkuu wacha tuoane, au tuache kulia lia yakitukuta kama haya, by the way bia sio tamu kiviiile!
 
We ni mdogo sana kuandika uzi mreefu kisa umeachwa! Unatakiwa uanze kutafuta shughuli ya kufanya ili uwe busy na maisha, mapenzi yatakuja yenyewe muda wake ukifika!
 
We ni mdogo sana kuandika uzi mreefu kisa umeachwa!
Unatakiwa uanze kutafuta shughuli ya kufanya ili uwe busy na maisha, mapenzi yatakuja yenyewe muda wake ukifika!
Jua litazama ma mdogo.. atakuja kutafuta mume yoyote huyu
 
Alafu mbona matakwa yako rahisi kabisa. Ebu njoo pm beana mie natafuta mwanamke mwenye sifa zako
 
My wangu usisumbuke hata....jiweke busy kua busy tafuta issue za kufanya fanya.......maisha yatasonga....wanaume wengi sa hv ni waongo sana wengi ni matapeli tu
 
Jipe mda tafuta furaha usipende kukaa pekee yako hii ni njia tu unapita kwenda kwa yule ulioandaliwa
Usikate tamaa true love lives
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…