Mapenzi yanauma sana

kuna wadada wazalendo lakini wanagongwa gongwa gongwa gongwa tu hadi wanakata tamaa mwisho wa siku naye anakua fisadi tu
 
Ninamaana itakuwa na uhakika wa kazi na kipato cha kuendesha familia
Kwahiyo sisi tusio watumishi tunabet Maisha?

Usijifungie kwenye utumishi wa Umma tu Mkuu.. Maisha ndo haya haya, na unaweza kupata mtu mwenye true love ila asiwe mtumishi na Maisha yakaenda tu na zaidi ya yote Mwenyezi Mungu ndo mtoa rizki..
 
Unachokosea ni kuingia kwenye mahusiano haraka baada ya kuachwa,uahitaji kujipa mapumziko la sivyo itakugharimu, haina haja ya kupanic maana we bado ni mdogo
Pia unahitaji kukaa chini na kutafakari makosa uloyafanya na ubadilike,wakati unahangaika kumtengeneza mwanaume et mnatafta mali zako ungekuwa umenunua hata kiwanja usingekuwa unalia .
Kitu kingine acha kujipa majukumu ya mke,
 
Tulio wengi tunakosea sn kwa kuwatengeneza watu tunaowataka katika fikra zetu.Awe hivi,awe vile,awe na hiki na kile.
Tunasahau kuwa muda unaenda.

Me nimetendwa sn na wadada 2 amabao niliamua nioe.Wa kwanza nilimfuma live amevua chupi na ametoa dyudyu na wa pili nilianza maandalizi ya kwenda kumvisha pete kwao but yule dada akatoa dyudyu kwa mtu na mimba ju.

Hapa nilipo nina ganzi ya mapenzi,sihangaiki nayo hata kidogo.Hata nisipooa fresh tu.

So dada be patience, si lazima kuolewa
 
Pole ,Mungu hakukupangia hao labda hata mngeshindwana mbele
 
Hakuna mwanaume mwanaume mwenye dharau kama mwanaume maskini wewe unamwonea huruma yeye anakuwa nawe kitarget apozee machungu,akipata anatafuta anaemtaka.Bora unyanyaswe na tajiri lakini anazo tena Mara 100
 
Njoo pm mama,utasahau yote
 
Hakuna mwanaume mwanaume mwenye dharau kama mwanaume maskini wewe unamwonea huruma yeye anakuwa nawe kitarget apozee machungu,akipata anatafuta anaemtaka.Bora unyanyaswe na tajiri lakini anazo tena Mara 100
Alafu unaanzaje kutengeneza maisha na mtu ambaye hajakuoa, hilo ni kosa kisheria, anapaswa ashitakiwe afungwe😂😂
 
Miaka 23 unakua desperate na ndoa? Aaagh wapi, achana na hizo mambo, sikiliza wimbo was Whitney Houston "Greatest Love of all is Learning to your self"
 
Acha uongo wewe, najibu pm za watu mbona

Kuna mawili,

1) aidha we ni dume unaejifanya mdada, so unaanzisha uzi ili uchore watu humu ndani

2) Kama we ni mdada, unachotafuta hapa ni attention toka kwa wanaume, unafurahia sana dm yako ikijaa sms toka kwa wanaume tofauti tofauti wenye njaa ya ngono ili bichwa lako livimbee

Natabiri unaweza kuja na uzi wa mrejesho kuwa kati ya wanaume waliokufata dm, hujaona aliekufaa kwasababu wanataka ngono kabla ya ndoa blah blah

Nina uhakika kuna uwezekano asilimia 98%, wanaokuja dm kwako wakiokuomba namba ili mkutane uso kwa uso, hadi wapate papuchi utawazungusha weeee mpaka wachoke

Binafsi acha niagize popcorn nichek movie, Huo utopolo wa kukufuata dm na kuanza Kubembeleza wee, kukutongoza, na kukuomba namba nawaachia wanaume wenye muda wa kuchezea A love
 
Ni kweli kwa sasa mafurushi ndio mengi ila wanaume pia wapo. Hivyo tuliza akili fanya mambo mengine ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…