[Qeuote] wanaume kwa sasa hawaeleweki[/quote]
Ukishakuwa na fikra hizi ni ngumu sana kujenga mahusiano yenye amani.
Halafu, si vizuri kuqnzisha mahusiano ili kumpata mtu wa kukusahaulisha matatizo yako, hueenda ukakutana na mwengine aliyevurugwa kama wewe badala ya kufatijiana mkavurugana pia.
Ushauri wangu. 23yrs ni umri mdogo sana, bado una nafsi ya kutuliza akili na kumpata mtu sahihi. Ukikosa subira na kumtafuta kwa nguvu ili tu kurdhisha mwili na nafsi yako jiandae kisaikolojia(sikutishi ila ndio ukweli)
Natamani sana kuwa hata na mpenzi anayejitambua , anayejua kutafuta pesa ,ambaye hajaoa wala Hana mtoto ,maana Mimi pia Sina mtoto, awe mtumishi , zaidi ya yote awe mchamungu .
Natamani sana kuwa hata na mpenzi anayejitambua , anayejua kutafuta pesa ,ambaye hajaoa wala Hana mtoto ,maana Mimi pia Sina mtoto, awe mtumishi , zaidi ya yote awe mchamungu .