Mapenzi yanauma nyie!

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,213
56,850
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo! Baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข
 
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข
Hahaha!! Umeoa bondia, pole sana mkuu
 
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข
We jamaa nini tena hiki? Yani unadhibitiwa na my Wife wako ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hapa sijala nina siku saba!

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..
Nimesoma kwa imagination kama vile nashuhudia tukio.

Pole sana baharia
 
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข

Unakaa DAR sehemu gani?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
H
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข
Ahaaaaaa huyo mwanamke atakuwa mkurya aiseee
 
Hapa sijala nina siku saba!๐Ÿ˜ญ

Kaniita Mimi shetani halafu navuta hewa ya msaada! Nimemnasa kibao nikapiga na mtama bahati mbaya nikaanguka mimi nimekonda nimebaki robo!.. baada ya kuanguka akaniuma kwenye shingo! Huyu mwanamke hana huruma kabisa akaja akanikalia tumboni kwa mara ya kwanza nikajua neno "JIRANII" lina umuhimu gani ukilitamka kwa kupiga kelele!.

Ndo nipo na majirani wananinywesha uji kimbaumbau wa watu!.

Lakini bado nampenda huyu Israel mtoa roho..๐Ÿ˜ข
Pambana Na hali yako ๐Ÿคฃ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom