Mapenzi yanauma jamani

Huu ndio uongo ambao wengi huwa wanadanganyana.

Pesa inasaidia kuficha uharisia mbele za macho ya watu tu lakin ukwel unabaki pale pale
Ndo maana hata wenye hela huishia kujiua japo kwa nje wanaonekana kuwa na furaha na wameyapatia maisha.

Kwenye hii ishu ni kuupa muda nafasi yake na kupona taratibu vinginevyo kuna hatari ya kubakia bitter na mwenye makovu ya kudumu.
 
Mkuu
Mwenzio imenikuta jana usiku ivo ivo uziwako sipunguzi kitu apo sema tofauti ni kwamba mm uyu manzi wangu ndio kama wanaanza ila leo full kushinda kwangu anajipendekeza kwa kila jambo afu mzee najifanya kama sija mind ...dah kaka moto ninao sikia moyon acha tuu . Kweli aya makitu hayana mbabe nimekubali mkuu
 
Haina makombo na wewe kula tuu
 
Me ndo maana nliona bora nijiunge chama la watendaji na sio ili chama la kulia lia......hapa nmetoka mchapia kidume mwenzang dem wake ambae ni ex wang.....namsaidia majukumu maana yupo mbali na anamtolea mahali.mapenzi konyo
 
1.Epuka kudate na pisi kali zaidj yaani tafuta demu wa kawaida,

2.epuka kusikilizia Sana,ile kitu muda mwingine sex aombe yeye.wengine hushindwa kumtamkia mwanamume ila wewe tengeneza mazingira ili mradi aanze yeye

3.kuwa busy siyo unamtext kila muda mara video call huko wasapu .wakati mwingine subiri akutafute

4.Usikurupuke tengeneza mazingira ya kupendwa na siyo kupenda hapa panawasumbua wengi mno

5.Kuwa mwenye mikato mwanamume wa kweli hawi muongeaji

6.Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea
 
Tafuta hela kenge wewe, wanaume wenye pesa hawana muda wa kulialia kwenye mapenzi.
kama mond platnams, anakuambia; "mi siwatafuti, wananitafuta wao, ukitaka kusepa wee sepa watakuja wengine, nawala na wao wakizingua wapite kule sina time, sibembelezi mtu mzima".

Hapa ndo nilipoonaga uanaume wa dimond, nilikuwa sitaki hata kuskia nyimbo zake, nikaanzaga na kuzisikiliza sasa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…