Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Baada ya kuumizwa na fala mmoja ivi tangia cku hiyo mguu moja nje mwingine ndani. Ila kila lenye mwanzo lina mwisho wake. Pole dogo ndo ukubwa huo
 
Ila ukifikiria sana unagundua maisha bila kufall in love na kuumia ni kama kutakua na kitu kinamiss hivi!
 
Pole sanaa cha msingi tafuta helaaa tuu mapenz peleka kwa kaz yakoo
 
ha ha haa! nayo machoz in love ni mautamu like Korean love series!
 
UPUMBAVU HUO NILIDHANI UMEIBIWA HELA UNALIA KWASABABU YA MWANAMKE BOYA SANA WEWE JAMAA
 
Dug
ni ukosefu wa akili mwanaume ukalia kisa mwanamke hata kwao watamuona bwege
Hata mm zaman nilikuwa nasema hvyo hvyo ila kuna wazee walionya sna na wakaniambia hakuna mjanja kwenye mapenz ila ss hv nimethibitsha na ww endelea kubeza tu watu walio athilika katk mapenz ila kama mwanaume ulie timia bac ipo cku yatakukuta
 
Mapenzi yanawatesa sana... poleni.
 
Back
Top Bottom