Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Polee mkuu,nakumbuka ilinitokea tar 21/12/2015...nililia saaana kama mtoto mdogo.yaan wiki nzma ckuweza kulala vizur wala kula vizur.ila Mungu ni mwema,,,,
 
Pole sana ndo ukubwa unaokupeleka kwenye ukomavu
 
Mapenzi hayana fomula mkuu jikaze tu hayo ndo maisha yetu chini ya jua.
 
Huyu jamaa hajui mapenzi ni nini. Na akija kujua asingefanya hivyo. Imenikumbusha enzi hizo ndo tuaanza kuingia ulimwengu wa mapenzi kiutoto utoto, yaani feelings zoooooote, ucku mtu analala anamuwaza binti mrembo flani hadi usingizi unakatika. 80% ya ubongo imetawaliwa na sexual feelings. Kipindi kibaya sana kile especially kipindi cha sekondari na advanced hapo. Ujinga mwingi, ilishawahi kunitokeaga hivyo ila mpaka leo najishangaa ilikuwaje. Yaani ratiba ya siku nzima inapotea kwa kumsaka demu flani na unadhani bila yeye wewe hujakamilika. Nonsense.

Siku hizi kwanza nashangaa wanajileta wenyewe tu mpaka unakwepa maana wanakuwa kero
 
kulia ni sehemu ya maisha tu.
tunapenda hivo hivo kibishi
 
yaani mm nashangaa sana wanaume wanaolia kisa mapenz hao ni vilaza yani utoe choz kisa demu duh! sinagaa historia hiyo?
 
Dogo pole sana, si tushapita huko na nina hakika week mbili tokea sasa zitakuwa ni siku ngumu sana maishani mwako ila usinywe sumu tu tafadhali!
 
Sio kwamba mapenzi yanauma ila rejections, heartbreaks, dissapointments ndo zinaumiza sana.

Jifunze kutokana na makosa.
 
Back
Top Bottom