Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Ewaaaa........... kila la kheri mdogo wangu. Tumia vizuri kipaji ulichopewa.Kwa hiyo kazi ya kukurudisha kwenye hali ya kawaida ninayo mimi? Kam zis wei Apologise lady....
Cc: Asprin
Ewaaaa........... kila la kheri mdogo wangu. Tumia vizuri kipaji ulichopewa.Kwa hiyo kazi ya kukurudisha kwenye hali ya kawaida ninayo mimi? Kam zis wei Apologise lady....
Cc: Asprin
Kwa hiyo kazi ya kukurudisha kwenye hali ya kawaida ninayo mimi? Kam zis wei Apologise lady....
Cc: Asprin
asante sana,ishu sio kwamba yeye ana matatizo,tulipeana time ya kuzoeana sasa ndani ya hicho kipindi yametokea mengi sana ila kiujumla wake she is wife material.Tatizo ni tunapishana common interests basi lkn vingine vyote tupo ok ingawa kila kitu amekuwa anasacrifice kufuata interests zangu mi naona kama siko fair kwake
Baada ya kuzunguka huku na kule nilifanikiwa kupata msichana kupitia forum hii ya love connect ofcoz ni msichana mzuri sana na yupo serious na mahusiano tatizo ni kwamba nahisi kama namuonea sababu kuna vitu vingi sana tupo tofauti ila yeye kila mara amekuwa anajitahidi kufuata upande wangu.Nataka kuachana naye lakini siwezi coz hajanikosea chochote halafu na upole wake nafsi inakataa ila tatizo ni kwamba vitu vingi hatuendani.
Naombeni ushauri.