Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Alafu mimi ningekuwa yesu, uwiii wangetafuta pa kujichimbia.
Mimi ningekua iziraili ningebakisha wachache sana.
Alafu mimi ningekuwa yesu, uwiii wangetafuta pa kujichimbia.
Mimi ningekua iziraili ningebakisha wachache sana.
Hata mimi jamani????
Tungekuwa na kolabo ya ajabu, wangeona mambo ya ajabu hata ya ISIS nafuu.
Wanakera sana hawa watu.
Yaani tunahakikisha likitoka balaa hili linakuja lingine zitooo, yaani kufa hawafi ila cha moto wanakiona na hata wakijaribu kujiua hawafi.
Ndio hata wewe, maana unatuletea majanga yaliyokukuta tu husemi majanga uliyoyasababisha, wakati what goes around........, teh teh teh teh
Sio lazima aumizwe yeye, hata waliomzunguka.
Huyu anatetewa, mimi naonekana nimeumizwa mie! Huwezi mchukia mtu hivyo kwa stori za kuambiwa...am no kid Apologise lady & atoto
Baada ya kuzunguka huku na kule nilifanikiwa kupata msichana kupitia forum hii ya love connect ofcoz ni msichana mzuri sana na yupo serious na mahusiano tatizo ni kwamba nahisi kama namuonea sababu kuna vitu vingi sana tupo tofauti ila yeye kila mara amekuwa anajitahidi kufuata upande wangu.Nataka kuachana naye lakini siwezi coz hajanikosea chochote halafu na upole wake nafsi inakataa ila tatizo ni kwamba vitu vingi hatuendani.
Naombeni ushauri.
Kama ni mvumilivu,mnasikilizana each 2other,anajitambua, na upendo wa dhati,mvumilie tu,pia omba Mungu atambadilisha pole pole.
Mi nilitoa thread,cha ajabu wanajitokeza walio na watoto(tayari wamezaa na wanaume wengine),utata mtupu!
Huyu anatetewa, mimi naonekana nimeumizwa mie! Huwezi mchukia mtu hivyo kwa stori za kuambiwa...am no kid Apologise lady & atoto
- Hahahahahaha!!!!!!!!!! kha!!!!!! mmmh!!!!! weeee nawe loh!!!!! kumchokonoa gani mtu huko????????????????????aaaaaaaaaah!!!!!!!!!!nimeumizwa nyang'anyang'a napumulia icu hapa nilipo.
Cc; Paulo Sergio De Souz kwa huduma! Bcc: Evelyn Salt
Cc; Paulo Sergio De Souz kwa huduma! Bcc: Evelyn Salt
Natambua fika.Wew Mentor wallah!! Unamatatizo, khaa!!!! Kwani Paulo Sergio De Souz hajui mim dada ake??
Mwambie Mentor maana anaruka ruka kama bisi kikaangoni.