Mapenzi yananitesa

Mapenzi yananitesa

ishu sio kumega,madem wa kumega wapo kila kona,huyu nipo naye more than a year rejea post yangu ya kutafuta mchumba

Ingekuwa ishu sio kumega hayo matofauti ungeyaona kabla hamjaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi! Hamkuwa na muda wa urafiki!???
 
lol nadhani wanaume tabia zao kama wamezaliwa baba mmoja mama moja hawatofautiani atii
 
Ujumbe keshaupata. This sounds like an implied message kwamba now unataka kumuwachaaa, ila unaona noma kumwambia ukweli live. Usikilize moyo wako kiongozi then chukua maamuzi. I guess hujampenda huyo, na kwa vile ushamtafuna mbunye tayari, now unakula chaka kidizaini. hahahaa
 
Baada ya kuzunguka huku na kule nilifanikiwa kupata msichana kupitia forum hii ya love connect ofcoz ni msichana mzuri sana na yupo serious na mahusiano tatizo ni kwamba nahisi kama namuonea sababu kuna vitu vingi sana tupo tofauti ila yeye kila mara amekuwa anajitahidi kufuata upande wangu.Nataka kuachana naye lakini siwezi coz hajanikosea chochote halafu na upole wake nafsi inakataa ila tatizo ni kwamba vitu vingi hatuendani.

Naombeni ushauri.

Ushauri gani? Wa kuendelea naye ama wa kumuacha?
 
So sad hiv ingekuwa ndo ww bint anakuona vile ungejisikiaje nishawahi kuwa katili sana kwa mabint baada ya kuumizwa adi nikaomba kuhama kituo cha kaz from dsm to mbeya Lakin haikunisaidia kikubwa mpend kaa nae chin tell her every thing and then move on maisha ni haya haya na walimwengu ndo sisi sa hv I'm happy japo bado nipo single ila the truth is kuacha sio solution hata kidogo
 
Na ndio chanzo cha kuwaona wanaume wote baba yao mmoja! Ungekuwa hujaumizwa usingesema hivyo naamini!

Hahahahaha!!! Sio lazima niumizwe mim, nishajifunza kwa marafiki zangu.

Mim sijui kuumizwa wala sipendi kumuumiza mtu, ila napenda hata kama mtu ananimwaga animwage kwa amani then kila mtu ashike lake.

Khaaa!!! Mtu akiwaza ameniumiza mmh!!! Atakuwa anachekesha tu, nina moyo wa ziada.
 
Huwez sepa mapema kabla hamjakolea usitengeneze tukio bure
 
Back
Top Bottom