Moja ya malengo binafsi ni kuwa na mke wangu na familia yangu.. sina utoto mkuuInaonekana hauna malengo binafsi katika maisha. You are weak. Grow up be like alpha male. Unasumbuliwa na utoto in your early 30's
Sawa nashukuruJipe mda kwanza wa kuwa peke yako..jiulize shida inaanzia wapi???kwanini wakatae wote???na ukiweza waulize y hawataki lzm kun sababu
Nje ya kazi yangu, nalima sana hasa hasa mboga mbogaJaribu kilimo utakuja kunishukuru baadae.
Adjust mitazamo na fikira zakoMoja ya malengo binafsi ni kuwa na mke wangu na familia yangu.. sina utoto mkuu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Anasema mwandiko wake tu unamuonyesha mama yeye malaya😃😃😃Nimestuka na Mimi😅😅😅
Kilimo cha nini da joannah labda na mimi kitanisaidia😌😌Jaribu kilimo utakuja kunishukuru baadae.
Hayanitesi, kama wewe ni ke na nayakutesa basi ni huna emotional intelligence ama lah sura mbovu na umbo baya. Pole sanaBichwa kama feni ya muhindi wewe mapenzi hayakutesi
Ukute ni muongo muongo.Imarisha mienendo yako kama mwanaume anayetaka mke, kimuonekano, mavazi, kimaongezi n.k
Tatizo ukiwa mkweli pia hawataki asee..hawa wanawake bana, wanapenda uwe mkweli ukiwa mkweli wanakimbiaUkute ni muongo muongo.
Mwanamke hawezi kuwa na amani na mwanaume muongo muongo.
Sawa mkuu.Imarisha mienendo yako kama mwanaume anayetaka mke, kimuonekano, mavazi, kimaongezi n.k
Pole, kuwa na mwanamke wa type yakoNdugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ na nina uchumi wa kati tuu , ila mapenzi yamekua sehemu ya kunitesa sana katika maisha yangu sijui nifanyaje yani yananitesa kweli kweli
1: Nina wanawake wakula nao starehe ila kila nikimaliza kulala nao nafsi inaniuma sana na kunihukumu vibaya mno
2: Natafuta mwanamke wa kuoa ila kila ninae mpenda nakutaka awe mke wangu anakataa sijui shida ilo wapi
3: Nikisema niachane na mapenzi moyo ndiyo unauma zaidi na kuwa mpweke sana
Naombeni msaada ndugu zangu, mimi mapenzi yananitesa sana. Nifanyaje niache kuteseka hivi ndugu zangu
Nyie ndio Huwa mnateseka sana ndoaniMimi sina uzoefu maana sijawahi ingia huko, nimekomaa na ulokole wangu, ila kuwa kiongozi wa kuongoza hisia, usiongozwe na hisia zitakuua
Siyo wanawake Tu hat wanaume pia🤗Mara ya mwisho kuteswa na mapenzi ilikuwa 2017 tena x wangu mmoja aliyeniacha kwa dharau na kejeli Leo kanipigia anadai siku hizi naringa sana na yupo kwenye ndoa ila analalamika simtafuti hata kumsalimia tu baada ya juhudi zake kugonga mwamba ila pole mkuu wanawake ndio walivyo hawajui wanataka nini.