Mapenzi yananitesa sana USHAURI

Mapenzi yananitesa sana USHAURI

Hilo ndilo jibu lao hao watoto wa UDOM na sijui wanafundishana au vipi?
.
.
Mimi pia nimewahi kuwa muhanga wa jibu hilo,nilidata si mchezo ila nikamove on.....kwa muda sikuhitaji mahusiano.....nilitafuta pesa na maisha kwa nguvu nyingi.

Baada ya miaka kadhaa tulikutana nae huhuhuhuh alikuwa choka mbaya,nikampa lift hadi home kwao baada ya siku kadhaa akaanza kusumbua turudiane kitu ambacho kisingewezekana.

Ushauri;Tafuta hela achana nae,atarudi tu kwa magoti siku moja
Aisee ungempa na hela ya kulaa mbwa huyooo...
 
Aisee ungempa na hela ya kulaa mbwa huyooo...
Hata hivyo limewahi niomba nilikopeshe.....sijui hata lingenilipa nini labda mavuazi,nikamwambia usinizoee bwege wee
 
Wakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.

Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
pole sn dogo
 
Hakukuwa na chochote kikubwa narudia tena hakukuwa na chochote! Ila tu siku hiyo aliacha kupokea simu zangu mpaka kesho ndo katika kumuuliza akanirushia hilo Bomu
take a time out, pumzika maisha yaendelee
 
Wakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.

Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
Mkuu unataka kufa kwaajili ya mapenzi? You can't be serious,move on.....maisha changamoto nikawaida sana you never no cos huwezi force mapenzi ukaanza kuteseka wakati upo kwenye ndoa,shukuru imetokea mapema.
 
Mkuu unataka kufa kwaajili ya mapenzi? You can't be serious,move on.....maisha changamoto nikawaida sana you never no cos huwezi force mapenzi ukaanza kuteseka wakati upo kwenye ndoa,shukuru imetokea mapema.
Nashukuru mkuu, ndo maana nilileta huku mnisaidie
 
Weka effort kwenye kutafuta kazii na hela uwe busy utamsahau
Kwa msg uliyoambiwa we songa mbele tu atakutafuta mwenyew huko mbelen wkt huo ushampata mwingine
Hata mimi kuna fala mmoja wa huko kwenu babati alinifanyia vituko
Sasa hivi analeta makanyagio yake anataka turudiane na mlia timing ni gonge nisepe
 
Mjomba ebu anza kwa ku-improve jinsi unavyoandika tu, yani haioneshi kama umemaliza chuo kwa uandishi huo. Na nna mashaka na muonekano wako pia kama uandishi tu uko ivyo. Una mambo mengi ya kubadili wewe kama wewe kisha uanze kufikiria kumbadili yeye akili yake. Jipende na ujiendeleze kwa kila sector, mapenzi hayatakutesa kamwe. Anza na mindset yako.

Sawa kaka mkubwa ila niko safi sema nilikua disappointed sana ndo nimecharaza ivyo
 
Wanaume mtajifunza lini lakini? Mapenzi ya chuo ni machache sana huishia ndoa. Baada ya kuhitimu chuo wanawake hufikiria zaidi kuolewa wakati wanaume hufikiria zaidi kujijenga kimaisha.
Wanawake huwa tunaangalia umri na mafanikio, hivyo huwa tunawaza "hivi huyu hadi aje apate kazi na asimame kimaisha si balaa"!! Ndio akitokea mwenye mafanikio zaidi yako kuachwa ni given hata kama ulikuwa unapendwa.

Mkuu wewe hata usimbembeleze huyo mwanamke, ikibidi hata huo ujumbe usijibu, futa kila kitu kinachomuhusu, anza upya maana sio mwisho wa maisha. Anaekupenda kwa dhati na kukuhitaji katika maisha yake hawezi kukufanyia huo upuuzi.

Sawa nimejifunza sasa mkuu!
 
mwili tu wenye urefu wa ft 5.7 lakini sitaki kuamini inaweza kuwa ni sababu
Weka namba yake hapa " nimshauri mrudiane " mimi nimtaalamu wa masuala ya ushauri wa mahusiano na uchumi " nime graduate na dr.criss mahuki
 
Weka namba yake hapa " nimshauri mrudiane " mimi nimtaalamu wa masuala ya ushauri wa mahusiano na uchumi " nime graduate na dr.criss mahuki

hahahah hapana sitaki tena turudiane naye nimeachwa na nimeachika
 
kila kitu nimefuta jana kama wakubwa walivyonishauri mkuu sorry.
Duh !!! Kweli Jf haifai " umeshafuata mpaka na ushauri mara hii ".... ndio maana Diwali me Wangu ajiunge na hii platform
 
Back
Top Bottom