Ukiweza fanya hiliMwambie "Asante sana. Umenisaidia kujitambua nikoje. Wacha nimtafute wa type yangu"
Halafu futa kila kitu cha kukufanya uwasiliane naye tena.
Tafuta pesa.
Ukizipata pesa atakuona unaumbo kubwa ghafla.
Ukiweza fanya hiliMwambie "Asante sana. Umenisaidia kujitambua nikoje. Wacha nimtafute wa type yangu"
Halafu futa kila kitu cha kukufanya uwasiliane naye tena.
Tafuta pesa.
Ukizipata pesa atakuona unaumbo kubwa ghafla.
Ulifanya makoxa....anaitwa nani na amemalza koz gnihapana mkuu sio pigo zangu, mi natumai voda tu
Yani nikubaliane nae tu kivyepesi tuu daaah naona kama nitidhulumu nafsi jamani, Mungu anisaidie lakin
Au pengine na waza anataka anione niko intereste sana kwake yani amejua nampenda sana pengine? Lakini nashukuru pia kwa ushauri naweza pakuanzia mkuu
Hilo ndilo jibu lao hao watoto wa UDOM na sijui wanafundishana au vipi?Wakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.
Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
Exactly mkuu.. vipi lakini umesha wahi mshuhudia aliye pitia haya?Mkuu hapo bado hujateseka..., waliteseka na mapenzi huwa akili zinawaruka kwanza, wanakonda, wanaumwa, wanalazwa, baada ya miezi 6 wanapata nafuu ndio wanaanza kulia kwa miezi 6 mingine
Ndo umeandika manini sasa?....Kwani ukiandika kiswahili tu unaona nini?Stay quite ur not serious indeed ur make jokes her without any problem and ur disturbing a people.