Mapenzi yananitesa sana USHAURI

Mapenzi yananitesa sana USHAURI

Usijibu hiyo text kaa kimyaa futa mawasiliano yake na vitu vyote vitavyoweza kufanya umkumbuke then jiuguze taratibu ukinywa juisi yako ya ukwaju
 
STAY COOL STAY SILENT FOCUS ON YOUR THINGS... DONT LET LOVE OVERRIDE YOUR MIND

We kaa kimya tu, umuhimu wako atakuja kuuona huko mbekleni (kama ni mpendaji kweli)
Thank you bro! naona najifunza kwa njia ndefu
 
End of the Road

Boyz II Men

Girl you know we belong together
I don't have no time for you to be playing with my heart like this
You'll be mine forever baby
You just wait

We belong together
And you know that I am right
Why do you play with my heart?
Why do you play with my mind?

Said we'd be forever
Said it'd never die
How could you love me and leave me and never
Say goodbye?

When I can't sleep at night
Without holding you tight
Girl, each time I try I just break down and cry
Pain in my head
Oh, I'd rather be dead
Spinning around and around

Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you
Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you

Girl, I know you really love me
You just don't realize
You've never been there before
It's only
Your first time

Maybe I'll forgive you
Maybe you'll try
We should be happy together forever
You and I

Will you love me again
Like you loved me before
This time I want you to love me much more
This time instead
Just come to my bed
And baby just don't let me go

Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you
Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you

Girl, I'm here for you
All those times at night
When you just hurt me
And just ran out with that other fella
Baby I knew about it
I just didn't care
You just don't understand how much I love
Do you?
I'm here for you

I'm not about to go out on cheat you
(Maybe I'll forgive you)
Just like you did baby
But that's alright
I love you anyway
(Maybe you will try)
And I'm still going to be here for you until my dying day
(We should be happy together forever)
Right now
I'm just in so much pain baby
'Cause you just won't come back to me (You and I)
Will you?
Just come back to me

Yes baby, my heart is lonely (Lonely)
My heart hurts baby (Lonely)
Yes, I feel pain too
Baby please

This time instead just come to my bed
And baby just don't let me go

Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you
Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you

Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you
Although we've come
To the end of the road
Still I can't let go
It's unnatural
You belong to me
I belong to you

Songwriters: Kenneth Edmonds / Antonio Reid / Daryl Simmons
Maneno kuntu
 
Pole sana! Mungu ni mwema atakujalia wa kufanana nawe, atakayekupenda hivyo hivyo ulivyo. Jaribu kujikeep busy na kama ni muumini wa dini fanya ibada mara kwa mara maumivu yatapoa haraka.
ahsante mkuu! yani hata yeye ukimuona na mimi ukinitazama utamshangaa yeye anamewezaje kusema hivyo.. Asante kwa ushauri
 
Ndiyo nimemaliza chuo
Tatizo ni hilo,fanya kazi itakayokufanya uwe busy muda mrefu hutawaza huo upuuzi
 
Daaah umenikumbusha mbali yalishanikuta
Mwaache aende lakin nakuhakikishia lazima atarudi tuu piga uwa lazima akutafute utakuja kuniambia
 
Ndiyo nimemaliza chuo
Tatizo ni hilo,fanya kazi itakayokufanya uwe busy muda mrefu hutawaza huo upuuzi
Kweli kama hilo ni tatizo na mimi nitamwambia sawa tu dunia inazunguka hii bado
 
Daaah umenikumbusha mbali yalishanikuta
Mwaache aende lakin nakuhakikishia lazima atarudi tuu piga uwa lazima akutafute utakuja kuniambia
kwaiyo alivyorudi mliyajenga mkuu?
 
kwaiyo alivyorudi mliyajenga mkuu?
Noo ukirudiana ni kosaa kubwaaa kinomaa atakutesa zaidi ya awali halafu atakuona huna soko labda urud upige mbupu usepe usikubali uoe utajutaaaa maisha yako yooooteee
 
Wakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.

Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
Ushauri wangu ni kuukubali ukweli kuwa ww si type yake thats it. Yes inauma but huo ndio ukweli.. once moyo wako ukishajubali maumiv yatapungua.
Tumia hayo maumiv kama chachu ya kutafuta pesa, tafuta maendeleo kwa jasho na damu .
utakapo kuwa sawa ata step mwanamke smart kuliko huyo.
Be a man, man huwa tunafuta machozi halaf next day tunaendelea na maisha
 
Mkuu hiyo iwe chachu ya wewe kutafuta hela, maisha mazuri na kuwa mtu bora hapo baadae. Kuna vitu vinatutokea kwenye maisha yetu ili vitupe nguvu na ari ya kuendelea mbele zaidi.

Binafsi hali kama hiyo ilishawahi kunitokea kipindi namaliza chuo tena huyo binti alinichana live kuwa anaona hali itakua ngumu sitaweza kumuhudumia hivyo tuachane. Japo roho iliniuma ila ilinisaidia sana kuzinduka. Kila mara yale maneno yake yakawa yanajirudia kwenye akili na moyo wangu. Nikawa serious kwenye mipango yangu, nikaweka bidii iliyozidi uwezo hatimae nikatoboa.
Ila kiukweli turning point yangu ilikua yule binti yeye ndio alibadili maisha yangu kunitoa kwenye comfort zone.
 
Mwambie "Asante sana. Umenisaidia kujitambua nikoje. Wacha nimtafute wa type yangu"

Halafu futa kila kitu cha kukufanya uwasiliane naye tena.

Tafuta pesa.

Ukizipata pesa atakuona unaumbo kubwa ghafla.
Thats right brother. Atakuja mwenyewe tena kwa magoti. Nawafaham hawa viumbe meku. Apambane.. namuhakikishia huyo malaya atarud tu
 
Naona kama ananiandalia misingi na mimi kuwa player tu kwa wengine! maana mbona mi sikuwa na tatizo kabisa
Kuwa player ni hatua ya ukuwaji. Kuna time utapitia hiyo hatu.. the utakuwa na kuacha then utapata mke. Ni hatua tu mkuu relax
 
Ushauri wangu ni kuukubali ukweli kuwa ww si type yake thats it. Yes inauma but huo ndio ukweli.. once moyo wako ukishajubali maumiv yatapungua.
Tumia hayo maumiv kama chachu ya kutafuta pesa, tafuta maendeleo kwa jasho na damu .
utakapo kuwa sawa ata step mwanamke smart kuliko huyo.
Be a man, man huwa tunafuta machozi halaf next day tunaendelea na maisha

"Be a man, man huwa tunafuta machozi halaf next day tunaendelea na maisha"
Ndivyo nitakavyofanya Thank you
 
Mkuu hiyo iwe chachu ya wewe kutafuta hela, maisha mazuri na kuwa mtu bora hapo baadae. Kuna vitu vinatutokea kwenye maisha yetu ili vitupe nguvu na ari ya kuendelea mbele zaidi.

Binafsi hali kama hiyo ilishawahi kunitokea kipindi namaliza chuo tena huyo binti alinichana live kuwa anaona hali itakua ngumu sitaweza kumuhudumia hivyo tuachane. Japo roho iliniuma ila ilinisaidia sana kuzinduka. Kila mara yale maneno yake yakawa yanajirudia kwenye akili na moyo wangu. Nikawa serious kwenye mipango yangu, nikaweka bidii iliyozidi uwezo hatimae nikatoboa.
Ila kiukweli turning point yangu ilikua yule binti yeye ndio alibadili maisha yangu kunitoa kwenye comfort zone.

Poa mkuu nashukuru.. Ndo maana nilileta huku naamini kuna watu wema bado
 
Back
Top Bottom