Mapenzi yananitesa jamani

when pple can walk away 4rm u, let them walk, ur destiny is never tied 2 s/body that left, so what u need is 2 LET IT GO
 
Know that pple leaves u bcoz they are not joined 2 u,&if they are not, u cant make them stay.DONT EXPECT LOVE IN RETURN.
 
kwenye karne hii bado unakuwa na mapenz ya kwel kwa mwanamke. mkuu mwanamke sio ndugu yako. kwa Tanzania ni poa tu ukiacha ila uku korea mtu akuachi atalipiza kisasi ata kama itamchukua miaka kumi ila ipo siku atalipiza kisasi
 
Ujinga mtupu..jitu zima unawaza mapenzi tu,ebu fanya kazi uko!
 
kwenye karne hii bado unakuwa na mapenz ya kwel kwa mwanamke. mkuu mwanamke sio ndugu yako. kwa Tanzania ni poa tu ukiacha ila uku korea mtu akuachi atalipiza kisasi ata kama itamchukua miaka kumi ila ipo siku atalipiza kisasi

mkuu hawa sio watu! Sasa hivi ni usikionee huruma kiumbe usichokizaa ni mwendo wa kuwapiga mimba tu, pambaaaf
 
Pole ndugu, mwanamke akikukataa tafuta mzuri kuliko yeye afu umulingishie....!! Ila bro ujifunze mwanamke hakaripiwi anabembelezwa. Ww sio wa kwanza kukupata hayo
 
Mimi nakushauri tu ujimalize tena jiue kabisa, ukitaka kufikia uamuzi huo naomba unitafute maana shughuli mojawapo nizifanyazo ni kuuza sanda, majeneza na kuchimba makaburi.

Kuna watu hamjui thamani ya uhai wenu, maisha na uhai wenu mmeuweka rehani kwenye vitu vidogo kama mapenzi au mmewakabidhi watu mioyo yenu.

We watu8......ushauri gani huo
 
Last edited by a moderator:
Pole mkuu ila stop lamenting and move forward!,u will find another lover and life will go on!
 
Acha kulia na mapenzi,wanawake wote hawa bado unalialia tu!
Takwimu zinaonyesha wanawake wapo wengi kuliko wanaume,wao ndio wanatakiwa waumie kisa mapenzi na sio sisi wanaume.
We si unaona wanojiuza ni wanawake miaka yote?ulishawahi kumuona mwanaume anajiuza road?

"Nlikuwepo":bolt:
 
Habari za asubuhi wana jf wenzangu,

Mwenzenu mapenzi yananinitesa mpaka muda mwingine nafikiria kumdhuru aliyekuwa mpenzi wangu na kujidhuru mimi mwenyewe.

Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu katika uhusiano kwa miaka 2 na nilishamwambia kwamba mwaka 2014 ndo tutafunga ndoa,,lakini gafla mpenzi wangu akabadilika hali iliyopelekea mm kumwambia tuachane,,lakini baada ya siku mbili nikaona uamuzi niliofanya siyo sahihi,nikarudi ili tuyamalize na hapo ndipo alipogoma mpaka leo hataki kurudiana na mm.

Kuna kipindi nilipandwa na hasira mpaka nikamtishia kisu,nimejaribu kumsahau lakini nimeshindwa kuishi bila yeye,nimemuomba radhi sana lakini ameendelea kushika msimamo wake kwamba hawezi kurudiana na mm na tuwe marafiki tu.

Muda mwingine nafikiria bora nimwagie hata tindikali tu ili na yeye asikie maumivu kama ninayopata mm,,kwa kweli nimehathirika kisaikolojia mpaka nashindwa kula wala kulala.

Naombeni ushauri wenu jamani.

Kwani ulizaliwa nae ndugu?? Na kama uliamua kuachana nae y unataka umrudie?Kukosa msimamo co kitu nzur. Achana nae kuwa busy na maisha utamsahau tu automatically pia acha hzo fikra za kutaka kumdhuru mwenzio ni dhambi.
 
Back
Top Bottom