Man tindwa
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 301
- 43
kaka ukiona mwanamke kabadilika ujue tayari kuna mtu mwingine anadate naye keshabadilika so hauna haja ya kuumiza kichwa uamuzi uliofanya ni sahihi ,fanya mazoezi kila jioni au asubuh kichwa kitatulia na utapata mwingine hacha mawazo ya ajabu hayo kwani alikuwa ndo mtu wako wa kwanza nn mpaka upagawe hivyo