DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,313
- 109,382
Ugomvi wa Instagram![]()

Ugomvi wa Instagram![]()

Ata Kama Nimeshatubu mkuu?hakuna msamaha mkuu moja kwa moja motoni

Safi SanaNmemzingua jana mchana
Mpaka sasa naona anapost tu ujingaujinga status wa kunilenga mimi,
Kunitext anatamani ila anasita anaona afikishe ujumbe kupitia status tu.
Me namcheki tu![]()

HapanaKwanza una muda asee
Pili ulimuoa?

Sometimes Mahusiano bila fitna na figisu figisu hayaendiNarudia tena ...una muda sana na hii sekta
Vyotee hivyoo

Wanajificha Kwenye mgongo wa pesa,Wanawake mtabisha ila kiuhalisia mtoa mada yupo sahihi.
Mwanamke bila kumpa shuruba kidogo anakuona zumbukuku
Kwa sisi makocha wabobezi unamsajili mchezaji mwenye mapenzi na Timu tu usisijili uchezaji ambaye hana mapenzi na timu maana pesa ikikata anavunja mkataba nadhani wajuba wamenielewa
kweli kabisaJifanye mkorea, majibu utayapataNyie ndio wake zenu wanatongoza watu huku mitaani kuwa hawana furaha kwenye ndoa.

Demu wangu ukimtibua mnagombana hataki shobo anytime soonhatar sana
Yuko tofaut eehDemu wangu ukimtibua mnagombana hataki shobo anytime soon

Yeah hayo mambo ya kumtibua kisha ujifanye unaomba papuchi atakukera😂😂😂 wala usijaribu kujibebisha!Yuko tofaut eeh![]()
Ha ha ha..anahitaji maombi uyo.Yeah hayo mambo ya kumtibua kisha ujifanye unaomba papuchi atakukerawala usijaribu kujibebisha!
Tunawagonga Sana mbona wake zenuJifanye mkorea, majibu utayapata![]()