Yes , haziwezi kuwa sawa sababu mmoja kaumiza kichwa mwingine kaja kuiba beats na kuongeza maneno ya Kiswahili bila hata kushukuru period.
Afadhali basi Dully Sykes mwishoni huwa anashukuru kwa kumtaja jina Ngiam Makanda Werrason.
Unaonekana ni mgeni kwenye hii fani, kugandamizia huku hakukuanza leo , ilikuwepo toka Enzi za zamani, toka Enzi za "Naomba Nipate Nafasi" au " Likokolo Nakokufa" ya Rocherau.
Hutaki unaacha, lakini habari ndiyo hiyo. Mbona zipo nyingi sana, na wote wanajua. Au kwa sababu miziki ya kikongo ya siku hizi haipigwi kwenye TVs na FM Radio zetu unafikiri kule DRC kumelala.
Kama unataka tutazitaja zote za kugandamizia hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.