Milestone
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 376
- 410
Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?