Mapenzi yako wapi hapa?

Mapenzi yako wapi hapa?

kwa kizazi hiki cha yudah hilo ni jambo la kawaida kutokea. ACHANA NAE MARA MOJA KABLA HAUJACHAFUA MASHAVU YAKO KWA MACHOZI.
 
Labda nikwambie kitu ambacho kinaweza kikawa ni msaada kwako kwa wakati huu ,,unajua kumpenda mtu ni kitu kikubwa sana lakini in return thamani ya upendo unaompa mtu kuurudisha huwa ni vigumu wakati mwingne lakini kwann inakuwa wakti mwanzo haikuwa hivyo ? jiulize xana ni nini ulichopunguza kwake au nanatoka na nani right now ,,na onesha hisia za dhati kwake ,,,,nakudedicate nyimbo ya Jux=uzuri wako kwa ajilli ya hisia zako
 
Miezi Mitatu yote hiyo haujatangaza uchumba alafu unasema your Heart Loves??
 
Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?

vocha unamnunilia au upigiwe tu
 
Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?

Hayo ndio madhara ya kupenda kunyenyekewa wewe huku mwenzio ana hamu ya kupata mrejesho wa manyenyekeo yake.
 
Mwazoni tulipendana sana kiasi kwamba 2liweza kuongea hata kwa masaa 3 bila kuchoka , alinipigia cm kila cku , saiz kupokea message yake ni mpka nimtumie ndo anijibu ,mara ya mwisho kanipigia cm cjui ni mwezi gan ! Kuna dalili za mapenzi ya kweli hapa ?

We sema mwanzo nlimpenda xana na sio tulipndana sna kwni ulkua unaujua moyo wake
 
kumbe na wanaume huwa wanaumizwa..! mapenzi haya dah! pole
 
Back
Top Bottom