Hivi jamani wanaume wengine bado wana mapenzi ya kizamani ya kuwafanyia vituko mademu na wao kujiona vidume,kama demu humtaki kwa nini usimwambie ukweli,sawa ataumia lakini yatapita atasahau kuliko vituko unavyomfanyia,unaanzisha mahusiano na demu mwingine halafu unadai ni rafiki tu wakati meseji mnazotumiana ni za mapenzi,mara kwenye facebook unaweka picha yake kwenye profile yako. Nini sasa hicho! Wanaume tuhamie digitali tuachane na mambo ya kizamani,mapenzi yawe ya kumaanisha.