Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #41
Huu udikteta Mara nyingi hutokea sehemu ambapo sio PA thamani sana yaani sijapakubali nimeenda kwakua hakuna optional yaani napiga basi tu hamna namna😀
Uncle wewe umezaa?! Uko na watoto wakike??Huu udikteta Mara nyingi hutokea sehemu ambapo sio PA thamani sana yaani sijapakubali nimeenda kwakua hakuna optional yaani napiga basi tu hamna namna😀
Ndio ninaoUncle wewe umezaa?! Uko na watoto wakike??
SauwaNdio ninao
AiseeStory yako sijaisoma mpaka mwisho. Nahitaji siku tukutane uniadithie vizuri. Njoo pm tuweze kufahamiana vizuri