Mapenzi ya siku hizi ya kuviziana

Hata wewe unaweza ukanipa sababu kuonyesha kwamba wanaume mna mapenzi ya kweli? Maana mimi nikikupa sababu zangu hautaziamini sasa wewe nipe sababu zako
Your answer was too general and more of ambiguity so i could choose whatever interpretation that acquiesce in my point of view.

Pengine labda kwenye hayo mahusiano yenu mwanaume ndio mwenye mapenzi ya rohoni wakati wewe ni actor tu!

Ni kweli wanawake ninyi hamna mapenzi ya kweli kama ambavyo nimekwisha elezea hapo nyuma hilo halibadiliki.

Unaweza ukanipa sababu kuonesha kwamba nyinyi wanawake mna mapenzi ya kweli kuliko wanaume!?
 
Hata wewe unaweza ukanipa sababu kuonyesha kwamba wanaume mna mapenzi ya kweli? Maana mimi nikikupa sababu zangu hautaziamini sasa wewe nipe sababu zako

kwanini usinipe kwanza wewe?

mimi baadhi nimeshazielezea tangu comment yangu ya kwanza kabisa kwenye huu uzi.
 
Na hii imekaaje mwanaume ukishamsaidia mpenzi wako hela...mkikosana kidogo unamdai tena kwa fujo...
Hii imetokea leo kwa rafiki yangu yani nimejisikia vibaya sana

Samahani kwa kutoka nje ya mada
Huyo mwanaume bure kabisa
 
Okay kwa kifupi ni hivi duniani wote yaani wanaume na wanawake wapo wenye mapenzi ya kweli na wasio na mapenzi ya kweli sioni haja ya kubisha hapa wakati ukweli unaujua hivi mbona wanaume hampendagi kukubali ukweli hata kama mnajua kabisa kuwa ni ukweli? Yaani unachoongea hata wewe mwenyewe unajua kabisa ni uongo na moyo wako unakushuhudia ila sijui umeandika tu ili kujifurahisha sijui ili wanawake waumie (kama sababu ni hii ya pili basi pole)
kwanini usinipe kwanza wewe?

mimi baadhi nimeshazielezea tangu comment yangu ya kwanza kabisa kwenye huu uzi.
 
Kwa maelezo yako hapa ni kama unasema tuoe wadaada wa std7, maana ukishaamua kuoa msomi, tayari unaijiingiza kwa mtu mwenye elimu, exposure na kuna uwezekano at some time in life atakuwa na kipato kumshinda mwanaume.

Mwanaume akishaoa msomi mwenzake, then akubaliane na fact kwamba huyo mdada ana mambo mengi ambayo huenda hata akamzidi mume wake.

Kwa maana nyingine pia anatwambie hata hao darasa la saba tukiwaoa halafu wakaamua kuji upgrade kielimu na hatimae kulingana na sisi au kutuzidi tujiandae kwa lolote lile watakaolifanya. kwa maana tayari tunakuwa disqualified ghafla humo humo ndoani(u-husband wetu una expire).
 
Kwa maelezo yako hapa ni kama unasema tuoe wadaada wa std7, maana ukishaamua kuoa msomi, tayari unaijiingiza kwa mtu mwenye elimu, exposure na kuna uwezekano at some time in life atakuwa na kipato kumshinda mwanaume.

Mwanaume akishaoa msomi mwenzake, then akubaliane na fact kwamba huyo mdada ana mambo mengi ambayo huenda hata akamzidi mume wake.
La 7 magoli kipa mnawataka sasa😂😂
Na ngoja ajiendeleze kielimu utaisoma namba lol
 
cha kushangaza wao ndio wanaoanzaga kudai ndoa sasa! halafu hao hao ndio wanakuwa wa kwanza kuzichoka hizo ndoa, unakuta mwanamke ana umri wa miaka 35 hapo amewahi kuolewa mara nne.

Sasa na nyie wanawake wa huku afrika hayo maisha yanawanyemelea bila ya nyinyi kujua.
Inasikitisha sn
Solution ukishapata jamaa yako tulia nae tu
Mfanyie visa akufanyie visa mnatiana mnaombana samahani maisha yanaenda unavunja ndoa for who
 
Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi.

Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja unakuambia labda umpe muda anakuzoea atakuwa poa baadae. Kabla hajakuzoea unaombwa kitu.

Kwa wenye akili kidogo unajishauri ndani ya dakika unamwambia sawa umekipata chukua. Ukishampa anaanza kukuchangamkia hadi unashindwa kuelewa imekuaje.

Sasa mimi maswali yangu kwa wadada ni haya.

Kabla sijawauliza naamini wa humu wapo wanaofanya wengine hawalifanyi hili. Na silalamiki nataka mtupe uzoefu.

1. Je, huwa mnapenda?

2. Kama jibu ni ndiyo huwa mnapenda. Kwanini switch ya upendo wenu inawashwa mkipewa mlichoomba?

3. Ok, tuseme mwanaume aliyeomba mawasiliano haujampenda na umetumia mbinu ya kumwomba kitu ili akukimbie. Sasa kwanini ukipewa unajipendekeza kwake saana hadi mwanaume anaanza kujistukia? Kama hukumpenda naamini huwezi badili moyo kwa kakitu kadogo.

4. Je, hii ni tabia ambayo ipo ndani ya mwanamke au ni ya kujifunza?

5. Je, mpo ambao mlikuwa hamifanyi na sasa mnaifanya? Kipi kilikufanya ukaanza kuifanya?

6. Je, mnapofanya hili mnakuwa na maana gani?

7. Mpo ambao hamfanyi hiki kitu? Nyie huwa mnafanyaje?

Nisiwe muongo nikikutana na hii hali kwanza huwa hivi...kwanza nakutumia meseji....akili inaniambia huyu labda hajanipenda nini? Najisemea acha nione ndani ya masaa mawili. Before unaombwa kitu...unatoa. baada ya kutoa unachangamkiwa...

Najiuliza mambo mengii hadi naanza kuwaza ujinga mwingine maana jibu nabaki sina.
Sijawahi fanya ivyo...binafsi nikiona usumbufu mwingi nakuambia tu ukweli "sikupendi bro" Kama muelewa utaacha usumbufu
 
Inasikitisha sn
Solution ukishapata jamaa yako tulia nae tu
Mfanyie visa akufanyie visa mnatiana mnaombana samahani maisha yanaenda unavunja ndoa for who

Tatizo kubwa mimi naona pia ni compatibility.

Kama mkikutana wote mna a lot of common interests, hizi kasoro ndogo ndogo haziwezi kuwa sababu ya nyie kuachana.
 
Binafsi sijawahi kumwomba mwanaume ambae Nishawahi kuwa nae kwenye mahusiano nae kitu chochote iwe pesa au kitu kingine kutoka kwake. Nasubiri apende yeye anipe na asiponipa siwezi kumind, tho napendaga nipewe zawadi coz na Mimi natoaga sana tu. Nikiwa nashida nitamuomba rafiki namaliza shida yangu.

Pili kuna wanaume ambao wanajiongeza hata kabla hujamuomba anakupa. huyu huna haja ya kumwomba.

Tatu, Mara nyingi sana sisi wanawake, ukiona mwanamke kakuomba kitu hasa hela trust me hajakupenda yupo hapo kwa lengo Fulani.mwanamke akikupenda kutoka moyoni anakuonea huruma, hata wewe ukiwa na shida yupo tiyari kukukopea ili akusaidie.

Haiwezekani eti mtu hakuchangamkii, gafla akuombe kitu ukimpa ndio akuchangamkie, hapo hakuna mapenzi, anakuomba kitu, ukimnyima akutafutie sababu ya kukuacha.
Nina buku 10 yako hapa.. nitume kwa m-pesa au airtel money bibie?
 
nimependa mchango wako mkuu..lakini sikuoni sana siku hizi humu jukwaani...nimeona Reactions score yako ni more than 20,000...kwa messages za 4,000 duhhhhhhhhhhhhhh Bonge la Great Thinker La JF..kwenye profile yako iko juuuuuuuu..mkuu come more often tujifunze
Thank you Tannique, I'll try harder to put some more time in my social media life.
 
Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi.

Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja unakuambia labda umpe muda anakuzoea atakuwa poa baadae. Kabla hajakuzoea unaombwa kitu.

Kwa wenye akili kidogo unajishauri ndani ya dakika unamwambia sawa umekipata chukua. Ukishampa anaanza kukuchangamkia hadi unashindwa kuelewa imekuaje.

Sasa mimi maswali yangu kwa wadada ni haya.

Kabla sijawauliza naamini wa humu wapo wanaofanya wengine hawalifanyi hili. Na silalamiki nataka mtupe uzoefu.

1. Je, huwa mnapenda?

2. Kama jibu ni ndiyo huwa mnapenda. Kwanini switch ya upendo wenu inawashwa mkipewa mlichoomba?

3. Ok, tuseme mwanaume aliyeomba mawasiliano haujampenda na umetumia mbinu ya kumwomba kitu ili akukimbie. Sasa kwanini ukipewa unajipendekeza kwake saana hadi mwanaume anaanza kujistukia? Kama hukumpenda naamini huwezi badili moyo kwa kakitu kadogo.

4. Je, hii ni tabia ambayo ipo ndani ya mwanamke au ni ya kujifunza?

5. Je, mpo ambao mlikuwa hamifanyi na sasa mnaifanya? Kipi kilikufanya ukaanza kuifanya?

6. Je, mnapofanya hili mnakuwa na maana gani?

7. Mpo ambao hamfanyi hiki kitu? Nyie huwa mnafanyaje?

Nisiwe muongo nikikutana na hii hali kwanza huwa hivi...kwanza nakutumia meseji....akili inaniambia huyu labda hajanipenda nini? Najisemea acha nione ndani ya masaa mawili. Before unaombwa kitu...unatoa. baada ya kutoa unachangamkiwa...

Najiuliza mambo mengii hadi naanza kuwaza ujinga mwingine maana jibu nabaki sina.
Wapo ambao wanapenda kweli na hawana haya mambo ila kuwapata sasa ni nadra.
Wapo wanawake wengi wenye haiba nzuri na wapo so content kwao kuomba kuwa ni last resort tena awe amekuzoea sana hapo mnakuwa mshakaa kwenye mahusiano muda mrefu.

Dunia imekuwa saturated sana na mambo ya uongo kuwa ili mwanaume aonyeshe upendo lazma atoe vitu la hasha bado kuna wanaoamini mapenzi ni sacrifices za pande mbili .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom