Mapenzi ya mtandaoni yanaweza kudumu?

Mapenzi ya mtandaoni yanaweza kudumu?

Ni rahisi sana kama kucheza BIKO au Tatu mzuka kupata mapenz ya dhat kuptia mitandaon maana ndio haohao wa mitaani na nchini
 
Jumatatu hii watu wako kazini..wengine vibaruani..wewe marioo umekaa kwa mama yako unawaza mapenzi ya twitter..very pathetic
 
Dada yangu mimi aliolewa na mwanaume aliefahamiana nae instagram tokea yupo chuo mwaka wa pili UDSM so kipindi anarudi likizo hom alikuwa hanifichi kuhusu hilo kuwa amepata boyfriend kutoka instagram

Lakini hiyo ilikuwa ni siri yetu sisi tu hadi anamaliza chuo mwaka 2016 na ndoa wakafunga kabisa lakini siri ilibaki kuwa moja tu je Walifahamiana wapi ?

Hilo ndio swali ambalo ilibidi wadanganye kwa wazazi kuwa hawakufahamiana kwenye mtandao bali walikutana kipindi sister yupo field kwenye kampuni flani hivyo ndio mahusiano yakaanzia hapo, ilibidi wadanganye hivyo ili kuondoa wasiwasi kwa wazazi

Ila tu sio kila unayemuona kwenye mtandao umuamini direct........
Ebu nikumbushe Instagram ina miaka mingapi hapa duniani na dada ako alolewa lini?
 
hivi kuna ambae alipata mpenzi kupitia mitandao hasa kama whatsaps groups na facebook na akadum nae kwa upendo wa dhati? naombeni uzoefu wenu wakubwa maana kunabinti kanipenda kulitia whatsapp groups sasa kama siamini vile

Mkuu mitandao nikama kumtumia shangazi , mjomba wako , au rafiki, au kaka kukutafutia mchumba, hakuna tofauti kubwa , facebook Jamii Forums unapata information za mwanzo tu kama , '' niko single, mimi mwislam/mkristo, nia degree, . naishi kwa mtogole, na picha kama mweupe au mweusi nk. baada ya hapo inabidi uingie deep ili kumake decision . watu tumepata wake Faceebok na tunaishi maisha mustarehe... imagine naishi nje ya nchi, nikija tanzania ni kwa wiki tu au zaidi kidogo sasa muda wa kujuana ana kwa ana na mwanamke nautoa wapi? so facebook inasaidia sana , tena sana , maana mwanamke asie mmbea hawazi kulike soud brown , au mwanamke mzinzi hawazi kulike mafundisho ya dini. japo wapo wanao fake ila ki ukweli tell you friend i will tell who you are!!! all in all pray and pray to get the right partner
 
Dada yangu mimi aliolewa na mwanaume aliefahamiana nae instagram tokea yupo chuo mwaka wa pili UDSM so kipindi anarudi likizo hom alikuwa hanifichi kuhusu hilo kuwa amepata boyfriend kutoka instagram

Lakini hiyo ilikuwa ni siri yetu sisi tu hadi anamaliza chuo mwaka 2016 na ndoa wakafunga kabisa lakini siri ilibaki kuwa moja tu je Walifahamiana wapi ?

Hilo ndio swali ambalo ilibidi wadanganye kwa wazazi kuwa hawakufahamiana kwenye mtandao bali walikutana kipindi sister yupo field kwenye kampuni flani hivyo ndio mahusiano yakaanzia hapo, ilibidi wadanganye hivyo ili kuondoa wasiwasi kwa wazazi

Ila tu sio kila unayemuona kwenye mtandao umuamini direct........
Kwahiyo ww huniamini mm?!
 
Mmhh sina hamu na hio kitu mm wrong number tuu inanitesa mpaka leo duniani sipo ahera sipo.......NAJUTA KUFAHAMIANA NAE YULE MJAMAA LOOHH!!!!
 
Mapenzi ni kambi popote!! Iwe kwenye daladala, sokoni, kanisani, msikitini au barabarani unaweza kukutana na mwenza wa maisha yako!!

Ila kuwa makini!!
 
hivi kuna ambae alipata mpenzi kupitia mitandao hasa kama whatsaps groups na facebook na akadum nae kwa upendo wa dhati? naombeni uzoefu wenu wakubwa maana kunabinti kanipenda kulitia whatsapp groups sasa kama siamini vile
Hayana ukweli mapenzi dizaini hizo
 
ana muda gani na wewe? Nani alimwanza mwenzie?vipi ameshaanza kukupiga vibomu.?
 
hivi kuna ambae alipata mpenzi kupitia mitandao hasa kama whatsaps groups na facebook na akadum nae kwa upendo wa dhati? naombeni uzoefu wenu wakubwa maana kunabinti kanipenda kulitia whatsapp groups sasa kama siamini vile
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana, hivyo ya kupasa kuelewa jambo hilo kwanza.
Mwanamke anaweza kukupenda kwa jinsi unavyozungumza, ulivyo mcheshi, au labda una vituko basi akakupendea hivyo vituko kwakua vinampa raha fulani.
mfano patia picha wewe ni mcheshi muda wote una amsha amsha pindi unachat/kuzungumza nae, wakati huo yeye ni mwanamke alie singo au ana matatizo katika mahusiano yake, moja kwa moja ataanza kulinganisha hali haliyo nayo na atakayokuwa nayo wakati atakapo kuwa nawe kwa ukaribu zaidi.. hivyo automatically tu anafall kwako.

sasa kufall na kudumu ni vitu viwili tofauti kabisa, kwanini? (kwasababu rejea hapo nilipokoleza red) kuna wakati mtu anakuwa anahitaji kuliwazwa kimapenzi tu kutokana na situation ya upweke aliyo nayo wakati huo, akipata na kiridhika basi hamu yakukuhitaji itapungua tu.

Ninachosema wapi mmekutana sio guarantee ya nyie kudumu/kutodumu, cha msingi mchunguze kiundani umjue alivyo, kama analipa na anachura ya kutosha ukimridhia beba mzigo (joke).

kuwa makini kijana, maisha hayana formula kama ya hesabu za MAGAZIJUT... maisha ndio hayo uishio.

THINK&CHOOSE WISELY!
😉
 
Ngoja uanzishe uhusiano na dume lenzako lenye matiti ndio utajua mitandao balaa
 
Back
Top Bottom