hahaaaaUlitaka akupende kupitia nn ndio umuamini?!
Mimi mwenzio sina hata wa kunipenda hata huko whtsap
swali lamsingi mnoo hiliWe ndo umempenda au yeye ndo kakupenda?
hata mimi nataka kulijua hiliEbu nikumbushe Instagram ina miaka mingapi hapa duniani na dada ako alolewa lini?
mkuu fafanua vyema basii ..Mmhh sina hamu na hio kitu mm wrong number tuu inanitesa mpaka leo duniani sipo ahera sipo.......NAJUTA KUFAHAMIANA NAE YULE MJAMAA LOOHH!!!!
Mmhh sina hamu na hio kitu mm wrong number tuu inanitesa mpaka leo duniani sipo ahera sipo.......NAJUTA KUFAHAMIANA NAE YULE MJAMAA LOOHH!!!!





..Hahaha hahaha hahaha haya banaAliisasambua papuchi akatembea..
Pole mkuu ni mapito ya kidunia tuu
Hahaha hahaha hahaha haya bana




yeye alionyesha dalili mi nikamaliza mchezo mana c unajua wanawake kutamka wagum kdogoWe ndo umempenda au yeye ndo kakupenda?
yupo mbeya mi nipo arushaYupo mkoa gani na wewe upo mkoa gani mr.inategemeana na umbali hapo na mwanamke mwenyewe
una umri gani wewe?.
mana hili swali lako inonyesha bado hujapevuka
Mmekutana kwenye group la nini hilo?
yupo mbeya mi npo arusha Nina umri Wa miaka 20 tulikutana group LA nyimbo tuYupo mkoa gani na wewe upo mkoa gani mr.inategemeana na umbali hapo na mwanamke mwenyewe
ana muda gani na wewe? Nani alimwanza mwenzie?vipi ameshaanza kukupiga vibomu.?
Umejuaje kama kweli ni wa kishuamkuu wao ni wakishua afu mi maisha yang yakawaida ajawai niomba pesa na tunamiez miwili mpaka sasa ila tupo mikoa tofaut japo mda mwng tunachat
Unajitakia stressHivi kuna ambae alipata mpenzi kupitia mitandao hasa kama WhatsApp groups na facebook na akadumu nae kwa upendo wa dhati?
Naombeni uzoefu wenu wa kubwa maana kunabinti kanipenda kulitia WhatsApp groups sasa kama siamini vile.
Dada yangu mimi aliolewa na mwanaume aliefahamiana nae instagram tokea yupo chuo mwaka wa pili UDSM so kipindi anarudi likizo hom alikuwa hanifichi kuhusu hilo kuwa amepata boyfriend kutoka instagram
Lakini hiyo ilikuwa ni siri yetu sisi tu hadi anamaliza chuo mwaka 2016 na ndoa wakafunga kabisa lakini siri ilibaki kuwa moja tu je Walifahamiana wapi ?
Hilo ndio swali ambalo ilibidi wadanganye kwa wazazi kuwa hawakufahamiana kwenye mtandao bali walikutana kipindi sister yupo field kwenye kampuni flani hivyo ndio mahusiano yakaanzia hapo, ilibidi wadanganye hivyo ili kuondoa wasiwasi kwa wazazi
Ila tu sio kila unayemuona kwenye mtandao umuamini direct........
Duhyupo mbeya mi npo arusha Nina umri Wa miaka 20 tulikutana group LA nyimbo tu
Sasa yuko wapiInwezekana kabisa mkuu, mimi mwenyewe mmojawapo.Nishawahi kujichukulia kimwana from whatssap group na nikadumu nae kwa muda mrefu.