Mapenzi ya mbali

Hii kauli huwa inaifanya niwe nakumbuka usemi wa jamaa yangu mmoja ambaye huwa anadai anaenda kumsalimia mchumbake wakati anadai kila siku huwa wanasalimiana kwa simu!

ni naniliu hiyo , mpaka a rightclick
 
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?


Tangu huo mwaka na hizo sehemu ulizozitaja ulikuwa unaishije???? au umechoka kuonja onja? na kama umechoka amua kuoa kila unapoenda unaenda nae.
 
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.



Ni kweli hayuko serious hyo, wangapi wana wapenzi wao nchi za nje na bado wanawasiliana na kutembeleana kama kawaida ushauri wako mzuri sana kaka! nimeupenda sanaaaaaaa!
 
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?



Kaka mi naona hauko sirias kabisaa na pia ninavyoona mm haujapenda ww! ukipata mtu unaempenda hakika haitasumbua, lakini kama ni kwa tamaa zako za muda utaishia hivyo hivyo! sorry kama nimekukwaza
 
....Yanahitaji moyo sana na discipline ya hali ya juu. Kama unaweza kwenda naye basi fanya hivyo vinginevyo unaweza kumpoteza mwingine...ukabaki unalalama "yamekuwa yaleyale" ya kuendelea kupoteza wapenzi.

Na hiyo mihangaiko yako ya huku na kule inabidi uifanyie mikakati ili kama inawezekana utulie mahali pamoja badala ya kuwa mfunga virago kila baada ya muda mfupi.


jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
 
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.

You hit the point..
 
magonjwa mengi utamuua mwenzio.

wee doubel K tulia bana magonjwa yapo lakini utayanasa kama wewe unaendekeza mambo ya kujidanganya kuwa eti ataji save for u while u away....sex is addictive ujue ukisepa mwenzio atatafuta wakumpa raha. sasa bora utumie condom na kamatia pale ulipo
 
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.

ni ushauri mzuri ila inategemea na huyo mpenzi mwenyewe kwani wengine waongo unapo kuwa mbali
 
Unajua kijana distance.sio reason Ww mwenywe tu vip uta handle situation mkuu,,sawa ?
 
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?

fanya mpango uhame nae kama unampenda,hiyo ndo dawa.
 
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.

Angalau nimejifunza kitu. Asanteni sana kwa ushaur na mawazo mazuri
 
wee doubel K tulia bana magonjwa yapo lakini utayanasa kama wewe unaendekeza mambo ya kujidanganya kuwa eti ataji save for u while u away....sex is addictive ujue ukisepa mwenzio atatafuta wakumpa raha. sasa bora utumie condom na kamatia pale ulipo

Mzabzab wewe sasa si bora aoe tu. kuna kujisahau kila siku na condom mmmmmmmm sidhani.
 
Mzabzab wewe sasa si bora aoe tu. kuna kujisahau kila siku na condom mmmmmmmm sidhani.

double k nakubaliana na wewe kuwa ukiwa kwenye uhusiano ipo siku condom utaiweka pembeni na kuonja utamu halisi lol....ndio maana mie nashauri vijana wawe wanaonja K tofauti ikiwezekana kamatia malaya tuu maana hapo utahakikisha kuwa full kutumia condom....BUT THIS SHOULD ONLY BE PRACTICED BY THOSE THAT JUST WANT SEX..NOTHING MORE NOTHING LESS
 
Back
Top Bottom