Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
sio lazima kunyoa ww....pita hata kusalimia tungoja ninyoe nianze kupitiamo huko
sio lazima kunyoa ww....pita hata kusalimia tungoja ninyoe nianze kupitiamo huko
Unaona sasaEbu nikumbushe jamani lakini si kweli uko na Mandingo jamani

Here I'm madame...Mm ndio mana napenda mwanaume mwenye sura mbaya sura ngumu ya kiume pendeni mahandsome hivyo hivyo ana list yake ndefu hajui ataoa yupi

Ebu nikumbushe jamani lakini si kweli uko na Mandingo jamani
Lakini si kweli mshipa wake dada uko nayo jamaniUnaona sasa![]()
![]()
![]()
Nakuja tuyajengeHere I'm madame...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MwenyeweMfyuuuuuu

Mimi huwa nikiwa na mdada huwa namfanya ajue nguvu niliyonayo ya kiushawishi mpaka anaona hawezi fanikiwa bila mimi, namsaidia kuendesha mambo zake, na kumshauri, kwenye mitupo asante Mungu kwa kuninyima kiba100 na kunijalia nguvu ya simba. Ukiona unaombwa na mpenzio akidai amemiss kusuguliwa jua uko mkide.Hawajutii vidume wenye sura ngumu uhandsome ndio nn
Huyo wa Vodacom, utakuta anatumiwa kufanya marketing kwenye ofisi zenye maDu huko kwa wagogo....Mahandsome wengi wanapatikana saloon za kiumeee
Alafu vodacom Ofisi kuu ya Dom ina bonge moja la handsome ina maana na yeye hatotudu kwenye ndoa kama Mo j aiseeee
WoyooooooooooooMimi huwa nikiwa na mdada huwa namfanya ajue nguvu niliyonayo ya kiushawishi mpaka anaona hawezi fanikiwa bila mimi, namsaidia kuendesha mambo zake, na kumshauri kwenye mitupo asante Mungu kwa kuninyima kiba100 na kunijalia nguvu ya simba. Ukiona unaombwa na mpenzio akidai amemiss kusuguliwa jua uko mkide.
Unao bana![]()
![]()
sina