Mapenzi ya mahandsome

Mapenzi ya mahandsome

Ata average brain huwa wananipa shida mie kuishi nao..! Niko na pesa ya kununulia kibua, sura ya kiume, akili above avarage!
Wapi hata maji huna unajisifu tu mwanaume aliyenazo haongei anatoa tu wewe kujisifu tu acha uzero masimu mengi wasted of time kila kitu wasted of time mwanaume anajijua tu sio usumbufu usumbufu hueleweki unatakaje
 
Hakuna kitu kinaitwa wanaume ma-handsome then kama wapo na kuna
 

Attachments

  • Screenshot_20180520-215856.jpg
    Screenshot_20180520-215856.jpg
    46.6 KB · Views: 20
Pole sana kwa yaliyokukuta...

Ndiyo dunia... kingine binadamu ni wabishi sana...

Cc: mahondaw
 
Nimecheki mara mbili mbili kuona kama huu uzi kweli ni wa 2018 au wa 2000, mi sidhani kama kuna mdada kwa sasa anangalia uhandsome wa mtu, Pesa tu unakula kila type tena vile unataka wewe
 
Back
Top Bottom