katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
- Thread starter
- #201
Kwa hiyopoaa
kadamnasi hii siwezi kuendelea
Kwa hiyopoaa
kadamnasi hii siwezi kuendelea
kwann?ndioo
Mengi tu, kama hilo apoyapi?
okKwa hiyo
Wapi hata maji huna unajisifu tu mwanaume aliyenazo haongei anatoa tu wewe kujisifu tu acha uzero masimu mengi wasted of time kila kitu wasted of time mwanaume anajijua tu sio usumbufu usumbufu hueleweki unatakajeAta average brain huwa wananipa shida mie kuishi nao..! Niko na pesa ya kununulia kibua, sura ya kiume, akili above avarage!
Ok ndio nini?
lipi?Mengi tu, kama hilo apo
sijui ata kwannkwann?
Ishu sio hata sura.
Tabia ndo kila kitu.
Haimaanishi ukiwa handsome automatically you are a player and have all the above qualities.
There are some very fine young men out there na wanajielewa.
️sawaOk ndio nini?
Hivi Ukiweka Picha Unakula Ban?we nawe kwaiyo unataka niweka apa nipewe ban

pole,sijui ata kwann
Ahaaaaa! Umetisha mkuu.Mahendisamu wakiwatenda ndio huwa mnakimbilia kwa sisi ma goat face!!