Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,096
- 62,034
Umeanza kumtamani mke wa mtu, kuna dalili nyie ndio mtafanya mapinduziDada mzuri Sana kapendeza Sana yupo na sura ya upole Kama ya zuchu. Mrembo tunayemkubali Sana .
Hope MUNGU atawafanyia wepesi watafika Malengo
Wanasema kuchapiwa ni siri ya ndani, unaweza kuwa pale kama picha tuNever say hakuna
Rejea yule kada wa CCM na Ile pisi yake
Hahaha Sasa Kama kuchapiwa mbona hata waliokuwa hawana dosari wanachapiwa piaWanasema kuchapiwa ni siri ya ndani, unaweza kuwa pale kama picha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF burudani jamanHao jamaa Mungu huwa anawabalancia kwenye centre bolt unaambiwa wanasmamia ugoko sana hao ndo mana kuna mkoa X yupo mmoja ni kiboko ya mashangingi
Sema huyo Jamaa anaenda kupoteza maokoto yake .Hahaha Sasa Kama kuchapiwa mbona hata waliokuwa hawana dosari wanachapiwa pia
Ni mungu tu asaidie
Wanao watoto wawiliSema huyo Jamaa anaenda kupoteza maokoto yake .
Better upate kids then upite hivi
Ni kweli kabisa, mpaka karne hii bado tunanyanyapaa watu wenye ulemavu. Unadhani sisi tutaishi milele.Asante sana. Kuna watu wanatoa comments za kuhuzunisha sana. Utadhani siyo binadamu. Infact Afrika watu wengi hatuna utu.
NakubaliNafuu kuwa na ulemavu wa viungo kuliko ulemavu wa ''utu''. Yaani binadamu unatenda kama huna utu.
ππEhh jamaa dizain hizo wanakuwaga mafundi kweli mzee [emoji1]
Ova
Dah pole sana Brother,usilie ipo siku utampata wako. Huyo halikua fungu lako....nateseka sana Mimi ni bubu nilimpenda binti 1, lakin hakunielew, nilikuwa nikimwandikia barua lakini kanikataa kisa siongei me bubu... Saiv ana mwez kaolewa na jamaa fulan ana pesa lakini... Nateseka kwa kwel ububu huu jaman... naumia kwa kwel... Nikikutana nae njian nalia tu yan...