Kuna kijana mmoja anafanya kazi kwa mchina anapata 5000 kwa siku, na ameoa,... Nachojaribu kusema Muombe Mungu akupe hitaji la moyo wako, kama unavyowaza kwa nafasi, nachoweza kusema, Wanawaume watakao oa mwanamke wa dizaini yako ni wachache sana,.. Ila kila la heri