hahaha mapenzi yamekuwa khabare ya mujini. mama wa watu anafanya supplimentary, hakufall in love maisha yake yote saa hizi ndo kastukia maskini. hata kama hawamuingilii mama yao lakini uamuzi wa kuuza nyumba angeshirikisha wanae at least
(huu uzi ufungwe. kuna mzee naiwinda pensheni yake nikinyanyuka nayo ntakushtua dada Dena Amsi)
Haha ngoja niongee na mod wafanye yao nimekumiss mbaya
hahaha miss you too gelofrendi. Uzee na majukumu vinatutenga bwana.
Ila seriously it is pathetic jinsi ambavyo vijana wadogo wanatafuta wake za watu. Yaani wako bold kabisa anakuambia anatafuta free ride na kutangaza umahiri wake kitandani. Aaagh, laana za kujitakia.
Poleni na masaibu. Wanae wawe karibu nae tu manake next ni kufa kwa stress hapo wakose mwana na maji ya moto
Yaani mimi je acha tu imeniuma halafu ukimwona na anavyoumwa sasa sijui kama atadumu maana anakaa anasema nimetapeliwa M40??? Huruma hadi basi
Huenda huyo mama alimuua mumewe!,..sasa kapata habari yake!
hahaha mapenzi yamekuwa khabare ya mujini. mama wa watu anafanya supplimentary, hakufall in love maisha yake yote saa hizi ndo kastukia maskini. hata kama hawamuingilii mama yao lakini uamuzi wa kuuza nyumba angeshirikisha wanae at least
(huu uzi ufungwe. kuna mzee naiwinda pensheni yake nikinyanyuka nayo ntakushtua dada Dena Amsi)
......maskini, anawehuka siku si zake.
Hajatapeliwa, katoa ki roho saaafi!
kwa sie watu wa imani twajisemea ndio rizq yake hiyo 5m!
Hivi wanajeshi nao huwa wanavulishwa nguo na raia...!?? Yaani km mimi nilivyo hivi,nitongoze mwanajeshi!!!,watu wanaujasiri aisee,akihisi unachepuka si utaruka ki-chura!? Huyo dogo balaa licha ya kugonga afande kafanya hadi uhalifu!!? Sipati picha mama aje akutane nae maeneo ya pale lugalo.
Yaani ni balaa afadhali kuwehuka nahisi kama atapooza kabisa maana BP hazishuki vizuri...
BTW: Umepotelea wapi??
Mmmmhhh hapa sina hakika maana wote walikuwa wajeshi na mwanaume alikuwa na cheo zaidi ya mkewe