Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
- Thread starter
- #21
Tusisubiri kuombwa msamaha tusamehe kwa waliotukosea,watajifunza kitu kupitia wewe na hivyo ndo twatakiwa tuwe
Nashukuru, nimejifunza kitu from this.......
Tusisubiri kuombwa msamaha tusamehe kwa waliotukosea,watajifunza kitu kupitia wewe na hivyo ndo twatakiwa tuwe
Nashukuru, nitafanya maombiSasa hapa nadhani kuna haja ya kufanya maombi, kama vipi jiunge na sisi pale kwa Kakobe! naona ndio kitakachokuokoa!!!
Ndugu mwanaume gani anaitwa Evelyne?Hapo mi sielewi we ni me au ke kama ni me hujajua thamani yako temana na huyo mtu wa hivyo hakupi dhamani yako wanaume tuko wachache sana na hatuna pressure ya kuoa kwani mda wowote unaweza fanya hivyo jiamini
This is what i mostly prefer.....Onyesha heshima kwake na sio kutetemeka, siku akinuna mwache km cku tatu kabla ya kumtafuta na kuongea nae badala ya kumtetemekea
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!
ahsante.....Cha kufanya mfurahishe sku moja hasa uwanjan, katikati ya mech mueleze kwa upole na kimahaba kuwa hupendezwi na tabia yake, mwambie kila mtu ana mapungufu na mtu akikosea asisite kukir kosa na kuomba msamaha ikishindikana, Panga sku moja mtoe out au mfanyie suprise katikat ya furaha mweleze kila kitu mwambie unampenda na unamuomba si lazma ila ni vizur kwa uhai wa penz lenu hapo atakuelewa, best wishes beloved
Mhhh sio bure...
Hivi huwa mkiambiwa mapenzi ni gharama mnafikiri gharama ni zip?
Cha kufanya mfurahishe sku moja hasa uwanjan, katikati ya mech mueleze kwa upole na kimahaba kuwa hupendezwi na tabia yake, mwambie kila mtu ana mapungufu na mtu akikosea asisite kukir kosa na kuomba msamaha ikishindikana, Panga sku moja mtoe out au mfanyie suprise katikat ya furaha mweleze kila kitu mwambie unampenda na unamuomba si lazma ila ni vizur kwa uhai wa penz lenu hapo atakuelewa, best wishes beloved
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!