Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Mpenzi wangu anapenda sana kutetemekewa kiasi kwamba hata kama ana makosa yeye mi ndo nimuombe msamaha nachukizwa sana na hii tabia mi napenda kumuheshimu zaidi kuliko kumtetemekea........msaada wenu please!
Yaani hapo umenena...yaani mtu anakuchokoza mwenyewe unaamsha hasira. ..inakupelekea kumuadhibu...unakuta anakukosea heshima...baasi ukimwadhibu ndiyi kwanza wewe umefanya kosa...anataka mpaka eti mkae kikao na wazazi....mambo ya kutetemekeana yeshapitwa na wakati...niheshimu nikuheshimu baasiii