Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
<br /><br />
<br /><br />
Labda kwangu hiyo dhati haijawah nitembelea. Lakin hata baadhi ya watu waliopo ktk mahusiano wamekua wakionekana kufurahia mapenzi yao kwa wakati then afta muda wamekua wakilizwa kwa kutendwa, hapo awali walideclare wote kwa pamoja kuwa wanamapendo ya dhati, sasa huku kulizwa ndio haswa kwanichanganya zaid! Ni kweli haya mapenz ya dhati yapo? Yanafananaje? Yakoje?
yapo mkuu, uwe na gari na tembo card....master card utayapata mpaka utayakimbia.