Mapenzi ya daktari na mgonjwa

Mapenzi ya daktari na mgonjwa

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
918
Kuna baadhi ya madaktari wana tabia za ajabu sana wamevuka mipaka badala ya marupurupu yao kuwa ni pesa sasa marupurupu imekuwa ni ngono kwa wagonjwa.

Yaani mgonjwa akiwa anatibiwa daktari anaanza kumtongoza ili kulipwa fadhila ya ngono baada ya mgonjwa kupona. Wengine wanadiriki hata kufanyia ushenzi huu ofisini kabisa!

Je, haya ndo marupurupu ya doctor?

Hii ni kinyume kabisa cha maadili.
 
Huyo hastahili kuitwa Doctor bali ni muhuni fulani hivi!
 
Tabia ni kama ngozi huwez kuibadili. Haijalishi ni docta, fundi umeme, plumber nk. Kama nu kitombi atafanya katika mazingira yeyote. sio doctors wote wanafanya hivoatafanya
atafanya
 
Hiyo ni sawa tu na vijana wa benki wanavyochungulia pichu za akina dada!!
Hiyo ni tabia tena ya uzinzi baina ya hao wote wawili ,kwanini mgonjwa akubali?ina maana si amekubali sound za mgegedaji?
 
Hawa viumbe wana wakat mgumu sana.
Kila wapoenda wakiwa na shida wanashawishiwa kuvuliwa tu.
 
Haipaswi kumlaumu mlaji tu hata mliwaji ndio anapaswa alaumiwe zaidi kwa kukubali kuvua pichu.
 
Wameamua kuweka professional ethics zao pembeni. Daktari kama huyu akigunduliwa basi ni kumfuta kazi na kuhakikisha hapati ajira kama Dr popote pale nchini hata kufungua zahanati yake asiruhusiwe.

Hayo si mapenzi ni ubakaji!
 
Ni maamuzi ya mtu kwa nini mgonjwa akubali dhana ya kupenda mtelemko katika kila jambo ina waponza sana wanawake!
 
Aaaanh kama wanakubaliana haina shida ila anatumia taaluma kama kikwazo hapo pana taabu!!!!

Mbona wagonjwa wengi tu wanawapenda madaktari tena wengine mpaka kero akijua tu ratiba anakaa foleni kurupu huyu ndani na hana shida wala hapindishi!!!!!!

Nimekuja kukuona nilipolazwa ulikuwa mwema, sijui kati ya wote wewe ndio unajali, yaani wapo kibao tu wengine wajawazito wakijifungua ndio wanaanza sasa yaani ni two sided!!!
 
Wameamua kuweka professional ethics zao pembeni. Daktari kama huyu akigunduliwa basi ni kumfuta kazi na kuhakikisha hapati ajira kama Dr popote pale nchini hata kufungua zahanati yake asiruhusiwe.

Medical Council Of Tanganyika itabidi hata hicho cheti chake wakichukue kabisa arudi kuchoma mkaa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Halafu na kuna wanaojilengesha kabisa yaani. Kama mwanamke akiwa hana hela ya nyama anajichekelesha kwa muuza bucha yeye afanyaje? As long as sio minor, wacha atumie mwili wake apendavyo.


kuna watu wanajua kujigonga hadi aibu aisee.

sheeeeee! Ndo maana kule masaini wanamke haruhusiwi kuingia kwa ndakitari menyewe menyewe! Nasindikisa na ugonja mwanamme naelesea!
Aaaanh kama wanakubaliana haina shida ila anatumia taaluma kama kikwazo hapo pana taabu!!!!

Mbona wagonjwa wengi tu wanawapenda madaktari tena wengine mpaka kero akijua tu ratiba anakaa foleni kurupu huyu ndani na hana shida wala hapindishi!!!!!!

Nimekuja kukuona nilipolazwa ulikuwa mwema, sijui kati ya wote wewe ndio unajali, yaani wapo kibao tu wengine wajawazito wakijifungua ndio wanaanza sasa yaani ni two sided!!!
 
Halafu na kuna wanaojilengesha kabisa yaani. Kama mwanamke akiwa hana hela ya nyama anajichekelesha kwa muuza bucha yeye afanyaje? As long as sio minor, wacha atumie mwili wake apendavyo.


kuna watu wanajua kujigonga hadi aibu aisee.

sheeeeee! Ndo maana kule masaini wanamke haruhusiwi kuingia kwa ndakitari menyewe menyewe! Nasindikisa na ugonja mwanamme naelesea!

Ha ha haaaaa tena anaweza kubisha kama.yeye ndio mgonjwa kisa aliambiwa juzi kichwa kinauma basi akimfikisha tu hata kama siku hiyo shida sio hiyo ye anataka hiyo ndio main complain!!!!!

Msee dakitari jatraja kichwa!!!
We ndo unaumwa????!!!
Sio, ila mi najua hiyo tangu mutrotro kabisa!!!!
 
Aaaanh kama wanakubaliana haina shida ila anatumia taaluma kama kikwazo hapo pana taabu!!!!

Mbona wagonjwa wengi tu wanawapenda madaktari tena wengine mpaka kero akijua tu ratiba anakaa foleni kurupu huyu ndani na hana shida wala hapindishi!!!!!!

Nimekuja kukuona nilipolazwa ulikuwa mwema, sijui kati ya wote wewe ndio unajali, yaani wapo kibao tu wengine wajawazito wakijifungua ndio wanaanza sasa yaani ni two sided!!!

kweli mkuu wanakera sana.tena inaniudhi mtu kajifungua juzi tu anaanza kukustalk,akikutana na daktari mwingine anagoma kutibiwa mpaka aje kwako.sometimes wanaliwa kutokana na vimbelembele vyao.binafsi nishawahi kuwa na wapenzi kama wawili lakini niliwatokea baada ya wao kupona na sio kwa kutumia taaluma yangu.kuna mke wa mtu alinifanya nibadilishe mpaka namba ya simu...
 
Back
Top Bottom