Mapenzi si mchezo

Mapenzi si mchezo

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,021
Reaction score
61,902
Michepuko yangu yaanza kulumbana kwa njia ya simu na kupeana vitisho.Kila mmoja anamwambia mwenzake,'sitaki nikuone na Equation X;he is mine' ingawa hawajawahi kuonana 'live'.Na mbaya zaidi wote wako tayari kunipatia mtoto,na mimi watoto kwangu ni hazina.

Wenye uzoefu katika haya mambo,mlitatua vipi changamoto ya namna hii bila kuumiza upande wowote?Na mimi napenda niishi nao wote wakiwa na amani na utulivu.
 
Sishangai hilo, maana vitabu vya Mungu havisemi uongo.

Hata hiyo idadi bado ndogo. Watakuja hata 6 wakijua una mke lakini na wao watahitaji kuolewa ilimradi tu waitwe wake wa flani.
Nilishaoa mkuu....na hao pia wanaelewa nilishaoa ila ni katika ile hali ya ke ni wengi kuliko me
 
Sishangai hilo, maana vitabu vya Mungu havisemi uongo.

Hata hiyo idadi bado ndogo. Watakuja hata 6 wakijua una mke lakini na wao watahitaji kuolewa ilimradi tu waitwe wake wa flani.
ha ha ha ha wanaamini ukiweza kumtunza mkeo vizuri, na wao pia unaweza kuwatunza
 
Back
Top Bottom