Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
malizia hizo tatu basiNamba yake ni hii hapa 0000046 namba ya Madam S
malizia hizo tatu basiNamba yake ni hii hapa 0000046 namba ya Madam S
No usiseme hvyo niruhusu mami nije pmNaogopa kupendwa kabisa now sikuoni halafu unanipenda acha kunichora?
Hivi kwani kutoa post ndio unipende si mtu unakomment tu?No usiseme hvyo niruhusu mami nije pm
Jf nikulike na kucommet tu huku niwatu invisible mnachart ila hamtakaa muonaneNo usiseme hvyo niruhusu mami nije pm
From long time nikiona jina lako tu...Hivi kwani kutoa post ndio unipende si mtu unakomment tu?
Basi?
Give me chanceJf nikulike na kucommet tu huku niwatu invisible mnachart ila hamtakaa muonane
Naomba mimi nikupende..Sijapendwa na mtu ni post ya weekend
Ndio Maana nimekaa kimya kwa maana nikitoa post napata wasumbufuGive me chance
Samahani tusichorane nipo fullNaomba mimi nikupende..
Mbona mihasira tena mpendwa.Samahani tusichorane nipo full
Tuchart tu kama marafiki wapendwaMbona mihasira tena mpendwa.
Duuh wamekufanye watu wa humu jamaani mbona umekuwa mwoga sana.Tuchart tu kama marafiki wapendwa
Umri wako tafadhali katoto kazuriUmewahi kusuuzwa roho ikasuuzika au umewahi kupendwa mpaka ukashindwa kuhema ?
Sasa mapenzi nikitu kingine usiombe upendwe.
Mapenzi ni raha mpaka unasahau mpangilio wa siku unaweza kuuliza watu leo lini?
Kisa unasuuzika moyo ukifunga macho unaona mabusu na madimlight mekundu ya mahaba yanapita.
Kimya si kimya bali hata jforum watu wamesahau
Kisa kupendwa.
Haloo mapenzi si pesa bali upate anayekupenda mchana mwema.
Kuna usemi usemao mpende akupendaye asiyekupenda achana. Naye.
Hahahaha yan unavyojikaushakama huijuimalizia hizo tatu basi
love you tooI love you more honey