í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸Atajua mwenyewe bwashee í ½í¸
Hujambo Lamomy?Wanaume weupe mna muonekano wa dada zenu lazima mapenzi yawatese..!!
Shetani hapa umenena vyema kbsaNature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.
Kama huna jambo huitaji msaidizi.
Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.
Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
4. Kichwani dishi limeyumba hazimo kabisahebu tufikirie ujinga kidogo,
1-anakataa mahusiano na wanawake.
2-anamaani kusex na wanawake ni ujinga.
3-anajisifia yeye mweupe.
4-…………………
Hapo mwisho tunamaliziaje?
Atakua amefeli form 4, yupo nyumbani hana kazi zaidi yakujiangalia kwenye kioo akitukuza weupe wake. Ndo kaamua aje atusumbue huku4. Kichwani dishi limeyumba hazimo kabisa
Hii ndo ile wanaita:Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi.
Umepiga kwenye mshono mkuu😂Atakua amefeli form 4, yupo nyumbani hana kazi zaidi yakujiangalia kwenye kioo akitukuza weupe wake. Ndo kaamua aje atusumbue huku
Kama mashetani wote wanabusara hivi, Bora kwenda kuzimu kuliko mbinguniNature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.
Kama huna jambo huitaji msaidizi.
Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.
Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
Sijambo, shikamoo!Hujambo Lamomy?
Mjinga huyo, analeta mzaha na mbususu í ½í¸í ½í¸Umepiga kwenye mshono mkuuí ½í¸
Hivi mwanaume kweli unaweza kutembea na kioo cha kujiangalia kila wakati ?? Vijana wa 2000 ni zaidi ya matatizo mtu kama huo hawezi ndoa lazima akimbie kwasbb ana ragi na tabia za kike wstawezana je na mwanamke mwenzie?Atakua amefeli form 4, yupo nyumbani hana kazi zaidi yakujiangalia kwenye kioo akitukuza weupe wake. Ndo kaamua aje atusumbue huku
Shetani mbona unatuelekeza vizuri binadamu SHETANI GANI WEWENature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.
Kama huna jambo huitaji msaidizi.
Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.
Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
Unamaanisha huyo dogo ni lesbian mkuu??Hivi mwanaume kweli unaweza kutembea na kioo cha kujiangalia kila wakati ?? Vijana wa 2000 ni zaidi ya matatizo mtu kama huo hawezi ndoa lazima akimbie kwasbb ana ragi na tabia za kike wstawezana je na mwanamke mwenzie?
Mkuu mtu anajisifia weupe wake unafikiria nini? Vinasaba anavyo.Unamaanisha huyo dogo ni lesbian mkuu??
MarahabaSijambo, shikamoo!
Zero brain for more elaborationsMleta mada anajisifia kua yeye ni "Mwanaume mweupe" kauli hii inatosha kabisa kumjua mleta mada kua ni mtu wa aina gani.
Wanaume tunazidi kupungu, dogo amesha tusaliti huyo.. Na hapo alipo utakuta anamiliki ile app ambayo inafanya pisi zipoge picha na maskio ya paka usoniMkuu mtu anajisifia weupe wake unafikiria nini? Vinasaba anavyo.