Mapenzi ni umasikini mtupu?

Mapenzi ni umasikini mtupu?

Nature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.

Kama huna jambo huitaji msaidizi.

Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.

Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
Shetani hapa umenena vyema kbsa
 
Nature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.

Kama huna jambo huitaji msaidizi.

Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.

Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
Kama mashetani wote wanabusara hivi, Bora kwenda kuzimu kuliko mbinguni
 
Atakua amefeli form 4, yupo nyumbani hana kazi zaidi yakujiangalia kwenye kioo akitukuza weupe wake. Ndo kaamua aje atusumbue huku
Hivi mwanaume kweli unaweza kutembea na kioo cha kujiangalia kila wakati ?? Vijana wa 2000 ni zaidi ya matatizo mtu kama huo hawezi ndoa lazima akimbie kwasbb ana ragi na tabia za kike wstawezana je na mwanamke mwenzie?
 
Nature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.

Kama huna jambo huitaji msaidizi.

Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.

Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
Shetani mbona unatuelekeza vizuri binadamu SHETANI GANI WEWE
 
Back
Top Bottom