Mapenzi ni umasikini mtupu?

Mapenzi ni umasikini mtupu?

Ila umalaya gharama aisee,Kwa sisi ambao kuna muda tuna request...
Bill inasomaga hivi..
Nauli kuja 20k
Nauli kurudi 20k
Chakula 20k
Lodge 25k
Vinywaji 40k
Hela yake 50k...
Hapo ni one night stand...
Ila kama unanunua kimboka ni unateleza tu na papuchi korongo
 
Nature inasema mwanamke ni msaidizi... Sasa huwezi kusaidiwa kama huna shughuli iliyokuzidia.

Kama huna jambo huitaji msaidizi.

Mwanamke aliyesahihi huongeza ulichonacho mara 3 zaidi.
Lakini mwanamke asiyesahihi hupunguza ulichonacho mara 9 zaidi.

Kama huna cha kusaidiwa, huitaji msaidizi. Simple.
kuna muda Satan anaakili eeeh
 
Hivi mwanaume kweli unaweza kutembea na kioo cha kujiangalia kila wakati ?? Vijana wa 2000 ni zaidi ya matatizo mtu kama huo hawezi ndoa lazima akimbie kwasbb ana ragi na tabia za kike wstawezana je na mwanamke mwenzie?
lazm njiangalie kwenye kioo maana napenda utanashati,na mwanaume lazima nipendeze
 
1773928046465.jpg
 
Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi.

Kwani mwanamke anafaida gan katika maisha yako, na hujui lengo lake ni kukuangamizia ndoto yako, na kubaliana na mwamba Tajiri Tanzanite maana sisi tukiwa kama wanaume weupe, hatujisumbui na uchafu, takataka
naheshimu mtazamo wako ila nadhani mapenzi ni mtambuka. Nakumbuka niliwahi kutengeneza $10000 those times nikiwa high school. So upande wangu nayatazama mapenzi in a positive way. Usiwachukie wanawake bhana.... 😀
 
Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi.

Kwani mwanamke anafaida gan katika maisha yako, na hujui lengo lake ni kukuangamizia ndoto yako, na kubaliana na mwamba Tajiri Tanzanite maana sisi tukiwa kama wanaume weupe, hatujisumbui na uchafu, takataka
naheshimu mtazamo wako ila nadhani mapenzi ni mtambuka. Nakumbuka niliwahi kutengeneza $10000 those times nikiwa high school. So upande wangu nayatazama mapenzi in a positive way. Usiwachukie wanawake bhana.... 😀
 
Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi.

Kwani mwanamke anafaida gan katika maisha yako, na hujui lengo lake ni kukuangamizia ndoto yako, na kubaliana na mwamba Tajiri Tanzanite maana sisi tukiwa kama wanaume weupe, hatujisumbui na uchafu, takataka
naheshimu mtazamo wako ila nadhani mapenzi ni mtambuka. Nakumbuka niliwahi kutengeneza $10000 those times nikiwa high school. So upande wangu nayatazama mapenzi in a positive way. Usiwachukie wanawake bhana.... 😀
 
Inaonekana bado kabisa haujapata pesa, una stress, huenda ukawa ni jobless pia, na haitoshi tu kuwa jobles, wewe ni mla nyeto.

Kitendo cha kujibaka kimekufanya uhisi mapenzi hayana maana kwa upande wako.

BADILIKA Uncle T.
 
Ati mweupe!? Hapo umetisga ndugu na weupe wako ni kama hudindish au uliingia cha kike ukapgwa tukio. Sasa ukijisifia weupe na dadako ajisifie nini mr. White. Hata punda mweupe anabeba mizigo
 
Back
Top Bottom