Mapenzi ni umasikini mtupu?

Mapenzi ni umasikini mtupu?

Ila umalaya gharama aisee,Kwa sisi ambao kuna muda tuna request...
Bill inasomaga hivi..
Nauli kuja 20k
Nauli kurudi 20k
Chakula 20k
Lodge 25k
Vinywaji 40k
Hela yake 50k...
Hapo ni one night stand...
Ila kama unanunua kimboka ni unateleza tu na papuchi korongo
Tofali 170 hizo chumba kimoja kasoro tofali 130 zimeungua kwa masaa mawili ya show time
 
Kuna yule mwehu mwingine anadai tuzae na wanawake wenye "sura nzuri" ili watoto wako baadae wasipate shida kwenye ajira na kupata mwenzi. Huu mwezi kuna thread za ajabu ajabu sana.
 
Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi.

Kwani mwanamke anafaida gan katika maisha yako, na hujui lengo lake ni kukuangamizia ndoto yako, na kubaliana na mwamba Tajiri Tanzanite maana sisi tukiwa kama wanaume weupe, hatujisumbui na uchafu, takataka
Aisee
 
Back
Top Bottom